PACHOTO
JF-Expert Member
- Dec 30, 2011
- 1,321
- 974
Habari wakuu,
Kwa wale wenzangu wa kusini na wakulima wa korosho a. k. a "makinikia ya kusini" kwa ujumla naomba tujumuike kujuzana changamoto mbalimbali katika msimu huu, ikiwemo upatikanaji wa pembejeo, magonjwa kwenye shamba lako, bei na malipo, pia kama una chochote cha kujenga kama ushauri kwa wakulima wenzako ruksa.