Hammy Js
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 3,054
- 3,255
na akihamishwa huku anajitambua anaweza akatumia mbinu zake kutoroka na kurudi dunianiHiyo ndiyo njia nyingine ya kwenda sayari nyingine.
Binadamu hawezi kuhamishwa akiwa anajitambua maana ni mbishi sana.
Fikiria leo dude linakuja kuwa upande uende sehemu nyingine utoke duniani uache chura, pombe, mali na vinginevyo utaenda kweli.
Acha tuhame bila usumbufu.
Sent using Jamii Forums mobile app