- Thread starter
- #21
Kama tayari anajua kitakachotokea hata nikiomba hakibadilishi kitu, kuna tofauti gani na asiyeomba.Ni hivi, wewe ni kiumbe wake, kabla haujafikiri au kupata utambuzi tayari yeye anajua kipi kitakachotokea, sasa wewe unabahatisha haujui hatma yako, yeye anajua nini kilichopo mbele kwa uhakika. Sasa katika mazingira hayo unashauri nini? embu jitafakari