Special thread for both Gender, Q & A Uliza Ujibiwe.

Special thread for both Gender, Q & A Uliza Ujibiwe.

Multpurpose

Senior Member
Joined
Mar 23, 2018
Posts
123
Reaction score
78
Nimeanzisha thread hii kwania njema tu ya kupeana maarifa, kubadlishana mawazo lakini kupata majibu ya maswali yetu pia.. ambayo huenda wakati mwingine unakosa wa kumuuliza.

Tuulizane maswali kuhusu
*mahusiano
*familia.

I start, swali kwa upande wa ME. hivi ni kwanini ni ngumu sana kwa mwanaume kuanzisha mahusiano na mwanamke ambaye ana mtoto tayari(single mother)?
 
Mwanaume sio tu kuwa na mtoto, ile kujua kwamba umeshawahi kuwa na mtu mwingine inatusumbua.
Sasa kuwa na mtoto ni uhakika na kithibitisho kwamba umekuwa mwenye mahusiano awali.

Pili, wengi wanaamini mtoto ataleta ukaribu kwa namna moja ama nyingine kwa wazazi. Ili kuepusha migogoro, wengi wanaamua kukaa pembeni.
 
Wali uwape wengine.....
Ukoko uniletee mie!!! Acha wapambane na hali zao
 
Najibu kwa kingereza swali lako..

"Wewe unaweza kula uporo wa wali wa samaki wa juzi?"
 
Jibu la swali lako.

Uliwahi kuona wapi mechi inaanza huku timu moja inaongoza goli moja wakati sio mechi za marudiano?

Yani mnacheza fainali, mnaanza mechi mwenzako anaongoza kwa goli moja, haiwezekani.
Hahahahahahaha hahahaha mbvu zangu daaah mkuu hiyo kali
 
swala la wanaume na watoto sio wao linaenda kizazi mpaka kizazi,lol our ultimate goal of our existence is reproduction/passing our genes to offspring,now kuona mtoto ambae sio wake ni chilling reminder kuwa he/she doesn't bear his genetic material and therefore minimizing his chances of leaving his biologically offspring in this world
 
Swali langu kwenu nyie ke hivi ni kwanini mnapenda kupiga picha huku mkigeuza USO na makalio kwa camera man
 
Fikra finyu ,mkipendana tu hakuna shida. Tatizo tuko kimwili sana sana na ndipo tunapikosea beside nijimpata MTU sahihi cjali ako na mtoto I will Mary her na kulea familia pamoja,mbona wanawake wabatukubali ilihali tunakua na watoto tayari? Everything is both sides tuache ubebali na mambo ya mlengo wa kuiga IGA. Humu mpo mama zenu waliolewa mkiwa mzaliwa nje na mkatunzwa bila kubaguliwa.
 
Nadhani tatizo hapo siyo sisi wanaume bali ni nyie nyie wanawake, hususa mama zetu. Aisee ni ngumu sana mama kukubali mwanae kuoa mwanamke mwenye mtoto.

Labda nikuulize wewe dada angu hivi kwanini mama zetu mpo hivyo!?
 
swala la wanaume na watoto sio wao linaenda kizazi mpaka kizazi,lol our ultimate goal of our existence is reproduction/passing our genes to offspring,now kuona mtoto ambae sio wake ni chilling reminder kuwa he/she doesn't bear his genetic material and therefore minimizing his chances of leaving his biologically offspring in this world

Na hili swala linasimamiwa kidete na ninyi ninyi mama zetu. Wamama huwa ndio watu wa kwanza kutaka kuona wajukuu, wakifuatiwa na mashangazi au dada wa muoaji (mawifi).
 
..mke wa mtu anataka kunipa nyuma...nimle ama la??...nimeshamla sana mbele...na anataka nimzalishe pia...je nimzalishe pia??...
 
..mke wa mtu anataka kunipa nyuma...nimle ama la??...nimeshamla sana mbele...na anataka nimzalishe pia...je nimzalishe pia??...

Babaaaa mle tu hapo ulipoishia utumbo mpana, na kama we ni mkunga mzalishe tu huo UTOPE
 
Fikra finyu ,mkipendana tu hakuna shida. Tatizo tuko kimwili sana sana na ndipo tunapikosea beside nijimpata MTU sahihi cjali ako na mtoto I will Mary her na kulea familia pamoja,mbona wanawake wabatukubali ilihali tunakua na watoto tayari? Everything is both sides tuache ubebali na mambo ya mlengo wa kuiga IGA. Humu mpo mama zenu waliolewa mkiwa mzaliwa nje na mkatunzwa bila kubaguliwa.

Endelea KUFAULISHIWA ABIRIA BRO, MWISHO UTAFAULISHIWA STEND NZIMA
 
Back
Top Bottom