Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,283
- 108,297
Hivi kirikuu ana matatizo gan mbona hafungi??
Huoni hayo mapande anayogawa mkuu...
Si lazima atupie na ndio raha ya kuwa na Messi timu moja...
Hivi kirikuu ana matatizo gan mbona hafungi??
Ombi moja tu niandalie tu picha za kutosha kesho nikawaoshe kule home...... Jana Rojo alikuwa anahojiwa akasema ADM is the best among all players in MUFC utafikir leo alijua itakuwa ni siku ya kismati chao......
Messi kampiga mtu tobo hahahaaaa.
Huku Argentina inawazika Paraguay halafu huko Canada Marekani inaikung'uta Ujerumani kwenye kombe la dunia la wachuchu.
Kwangu mimi mshindi wa hii ndoo atatoka mechi ya leo...
Messi kampiga mtu tobo hahahaaaa.
Huku Argentina inawazika Paraguay halafu huko Canada Marekani inaikung'uta Ujerumani kwenye kombe la dunia la wachuchu.
Nina wasiwasi sana na wahuni Chile, all in all itakuwa game nzuri sana.
Makofi kwake king Messi aka Kirikuu japo hafungi lakini anafanya kazi nzuri sana
'Messi' Masterpiece Performance Led Albiceleste To The Final', Hehe media baadae.
Ila kwa mpira wa jana aliocheza peru ingawa alikua pungufu, nadhan wangekua wametimia chile tulikua tunamwambia asante kwa kushiriki
Nina wasiwasi sana na wahuni Chile, all in all itakuwa game nzuri sana.
Sema mwenyewe watakuwa wanaongopa?
Nina wasiwasi sana na wahuni Chile, all in all itakuwa game nzuri sana.
Mbeleko litachanika wanapigwa kwanza tatu za chap chap kuwaweka sawa,kwanza mpaka hapo ni mafaniko kwao hawajawahi fika hiyo stage ....
Ngapi ngapi?
Hivi mechi ya wanawake inaonyeshwa super sport ngap