Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

Nimelala sasa ? Hata sijalala nimekusubiri tusikilize BBC wewe hata hujaja ikabid niendelee tu na kazi za home as a woman sasa ndo nimekuja unipe story tamu tamu zinibembeleze nilale......BTW man of the match ni Ospina....

Aiseeeh.. Paulo Sergio De Souz asione hapa
 
Last edited by a moderator:
peru-fan-v-bolivia-quarter-final_suczygrsp4gr1j4f8wdkf41f3.jpg
Hehe, Jamaa anaangalia hiyo asset kwa hisia kweli yaani

Embu ninong'oneze mimi tu hata wewe si umeiangalia kwa hisia? Hivi unazipenda hizo neema na wewe eehh?
 
Embu ninong'oneze mimi tu hata wewe si umeiangalia kwa hisia? Hivi unazipenda hizo neema na wewe eehh?

Eeh bana, acha kabisa. Assets muhimu, lazima washkaji na wapinzani wakuonee wivu kwa kumiliki mali adimu.

Niliona mahali jamaa anasema alikuona na wewe una neema za kutosha pia. Nadhani namuamini jamaa.
 
Eeh bana, acha kabisa. Assets muhimu, lazima washkaji na wapinzani wakuonee wivu kwa kumiliki mali adimu.

Niliona mahali jamaa anasema alikuona na wewe una neema za kutosha pia. Nadhani namuamini jamaa.

Aiseee!!! Hehehe kumbe ulikuwa unafatilia ule Uzi........
 
Haya bana story zako tamu zinanibebembeleza nilale..... Hivi mechi ya leo ni saa ngapi?

Hehe yaani story zangu zinakubembeleza ulale? ndio polite way ya kusema ni boring...hizi curves hizi.

Game ya leo itakuwa mapema tu, around 2300hrs za EA. Commentator mwenyewe nitakushtua ikiwa inaanza, twende sawa hatua kwa hatua.
 
Hehe yaani story zangu zinakubembeleza ulale? ndio polite way ya kusema ni boring...hizi curves hizi.

Game ya leo itakuwa mapema tu, around 2300hrs za EA. Commentator mwenyewe nitakushtua ikiwa inaanza, twende sawa hatua kwa hatua.

Aiseeh.. mkuu una undugu na usain bolt nin?? Mbna speed yako inanitisha??.. lol
 
Hehe yaani story zangu zinakubembeleza ulale? ndio polite way ya kusema ni boring...hizi curves hizi.

Game ya leo itakuwa mapema tu, around 2300hrs za EA. Commentator mwenyewe nitakushtua ikiwa inaanza, twende sawa hatua kwa hatua.

Nou bana!! Sikumaanisha hivyo......huwezi niboa hata Mara moja!!!! kweli nilikuwa na usingiz balaa, si unajua ni weekend tena......yaani unishtue kweli kweli hii ya Leo mida hiyo ni mzur kabisa.
 
goli 1 tu boss, alishauriwa awaachie wengine nao wafunge.

Hahahaha!! Mawili na la jana😛.......Haya bana amejitahidi kila alivyoweza ngoma ngumu, Enrique mchawi kweli kaikamata MSN yake vilivyo hata isifanye kazi mwingine zaidi ya Barc
 
Nou bana!! Sikumaanisha hivyo......huwezi niboa hata Mara moja!!!! kweli nilikuwa na usingiz balaa, si unajua ni weekend tena......yaani unishtue kweli kweli hii ya Leo mida hiyo ni mzur kabisa.

Haha usiwaze, mi nazingua tu.



Hahahaha!! Mawili na la jana😛.......Haya bana amejitahidi kila alivyoweza ngoma ngumu, Enrique mchawi kweli kaikamata MSN yake vilivyo hata isifanye kazi mwingine zaidi ya Barc

Umeona jinsi MSN compliment each other eh? Sasa nataka kuwaona msimu ujao kama hiyo bromance na patnership itaendelea.
 
Back
Top Bottom