Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

Umeona eeeh?? Game limepoa kishenzi labda tusubiri baadaye tumcheki Messi hahahaha usivyompenda sasa..... Lol

Haha na kweli simkubali kivile, last World Cup aliwafunga Bosnia, Nigeria na Iran tu, ila kelele kila sehemu kwamba ni mchezaji bora kuwahi kutokea.
 
Nitapita huku nafasi ikiruhusu si unajua tena mambo ya weekend, kuna mechi ya Brazil na Spain na Warembo wa kwa mama na Mexico kombe la dunia kwa Warembo. Ila kesho kwenye Copa America timu yetu Brazil wanakipiga na Peru usikose.

Asante sana, tupo pamoja mwaga updates .... BAK ukuje huku basi Uzi upendeze... Watu8 sikuoni leo? chebi wapi hiyo? Ziroseventytwo leo ni mapema njoo tucheki game au mambo ya weekend?
 
Haha na kweli simkubali kivile, last World Cup aliwafunga Bosnia, Nigeria na Iran tu, ila kelele kila sehemu kwamba ni mchezaji bora kuwahi kutokea.

Hahahaha lakini huwa sometime anafanya vitu flani adimu....wacha wamsifu tu!!
 
Nitapita huku nafasi ikiruhusu si unajua tena mambo ya weekend, kuna mechi ya Brazil na Spain na Warembo wa kwa mama na Mexico kombe la dunia kwa Warembo. Ila kesho kwenye Copa America timu yetu Brazil wanakipiga na Peru usikose.

Inachezwa saa ngapi? Halafu niliona km kuna mdau alianzisha Uzi ngoja niutafute.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hahah i'm gonna pass this one...nasubiria game ya Argentina...

Sasa hivi nawatazama Brazil na mrembo Malta...

Nilikuwa natazama games za Afcon na games za IAAF (riadha)...

Asante sana, tupo pamoja mwaga updates .... BAK ukuje huku basi Uzi upendeze... Watu8 sikuoni leo? chebi wapi hiyo? Ziroseventytwo leo ni mapema njoo tucheki game au mambo ya weekend?
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha lakini huwa sometime anafanya vitu flani adimu....wacha wamsifu tu!!

Yes yes, kako vyema sana. Kama tungepewa option ya kubadilishana na yule wetu, ningekubali bila kufikiria mara mbili. Ila sio bora kuwahi kutokea.

Umeona ee !! Ila na huyu refa naye siyo kaminya faulo nyingi.....

Nilichoona kachemka so far ni alipoteleza Muslera, Ye akasema foul. Ile Cavani aliyoililia haikuwa penalty.
 
Yes yes, kako vyema sana. Kama tungepewa option ya kubadilishana na yule wetu, ningekubali bila kufikiria mara mbili. Ila sio bora kuwahi kutokea.



Nilichoona kachemka so far ni alipoteleza Muslera, Ye akasema foul. Ile Cavani aliyoililia haikuwa penalty.

Umenichekesha sana eti kako vyema ....lol
 
mkuu nipo ila leo nilikua katika part hii furaha ya ile final ya jumamosi iliyopita leo ndio ilikua tunasherehekea a.k.a Team Barca

Aiseee hongereni sana wee mchoyo hata kunialika, thichezi na wewe tenaa...lol.....najua macho na akili yote umeielekeza saa 6.
 
Mechi ipi? Kama za hawa warembo zinaendelea sasa hivi ya Brazil na Spain imechangamka kuliko ya Uruguay na Jamaica.

Inachezwa saa ngapi? Halafu niliona km kuna mdau alianzisha Uzi ngoja niutafute.
 
Back
Top Bottom