uzalendo umenishinda kipindi cha kwanza kimenitosha kuangalia hakuna hata bao laexis sanches anapoteza nafasi nyingi nitakuja kuangalia matokeo asubuhi ht 0-0
Umekosa pande zuri la Sanchez lilizaa bao la pili kwa Chile...
Sanchez kwenda kwa Vargas, akatupia kwa banana kick...
Duh! Kumbe tumepitwa eeh? Mimi nilistuka hiyo saa 8 nikajifikiria weee ahh!! Uzalendo ukanishinda usingiz ukawa mtamu......
Usikose mitanange mingine ifuatayo...
Timu za Amerika ya kusini nyingi zina mpira mzuri mathalani Colombia, Chile, Uruguay na wakongwe Argentina na Brazil