Wenger ajifikilie tena mara mbili mbili kuhusu ospina ni bonge moja la kipa
HT Arg 0 - 0 Col
Ospina ameshaokoa magoli mawili sasa ya maana, kwanini Arsenal wanamtaka kumuuza lakini? Mimi naona wanaipoteza hazina
*clears throat* hivi Kirikuu yupo kweli? *evil grin*
Kirikuu amekula buti mpaka nafsi yake imesuuzika.
*clears throat* hivi Kirikuu yupo kweli? *evil grin*
Cech anataka awe namba moja ktk mkataba atakaosain arsenal das y
Nimekosa 1st 45 minutes, jirani alizuga hasikii hodi zangu, kuna watu wana roho ngumu sana, smh! Ila kwa hisani yenu hapa, nafuatilia yote yanayojiri
Hahahaha!!! Yupo kama kawa anafanya yake.....wewe nichokoze tu!!!...but thank you am smiling after seeing you here..........hope umekuja na neema kwa Arg na Messi atatupia lake.....lol
Nimekosa 1st 45 minutes, jirani alizuga hasikii hodi zangu, kuna watu wana roho ngumu sana, smh! Ila kwa hisani yenu hapa, nafuatilia yote yanayojiri
Hahhaa.. pole sana mkuu, ungemwambia hata kama tv ni ya kwako lakin umeme sio wa BABAKO
Hehe nimekuja baada ya kukuona pia. Mchezaji kutoka galaxy nyingine haitaji neema bana, hizo tunahitaji sisi binadamu. Timu bora na ishinde