Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
Ubaya nikushaanza kumcheka Kirikuu, ndio anatupia la ushindi.
Siyo timu bora na ishinde ila itakayoshinda ndiyo timu bora!
Ubaya nikushaanza kumcheka Kirikuu, ndio anatupia la ushindi.
Hahaha, umeona sasa? Nitaachaje kuomba Albiceleste wafungwe kwa namna hii
Kirukuu ulimuona lakini? Subiri mchawi sasahiv ataangamizwa....
Omba tushinde nimekuandalia zawadi ya ushindi......
Ohhh!! Thank you...but I want my wishes to come true.....finally Arg vs Brazil
Ukute Ospina anawaona washambuliaji wote wa Albiceleste kama Wenger, si bure hii performance.