Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

Hii mambo nilikuwa naiona sana mechi za mchangani zamani...

Makipa ndio walikuwa wanapapaswa sana makalio wakati kona ikipigwa...

Sasa hapo kipa yupo juu, akiguswa kalio anaacha kudaka mpira then watu wanautia kambani...

Hahahaha!! Hiyo mbinu ni balaa....
 
Nimewahi ishi A town na wazazi wangu wanaishi huko......

Kumbe ndio maana mjanja mjanja, hehe. Mi ndio home, kuzaliwa na kukulia. Japo sijaiona kwa miaka karibu mi-4 sasa, ila watu wengi naowapenda wako A town, na ndio nitakapoishi nikiwa tayari ku-settle.
 
LEO ARGENTINA VS COLOMBIA nawaonea huruma colombia sababu leo wanacheza na timu mbili uwanjani na ARG wanaweza wakaiweza jee hii ya pili wataiweza????? KAA TAYAR KUMSHUHUDIA KING
 
LEO ARGENTINA VS COLOMBIA nawaonea huruma colombia sababu leo wanacheza na timu mbili uwanjani na ARG wanaweza wakaiweza jee hii ya pili wataiweza????? KAA TAYAR KUMSHUHUDIA KING

Tatizo la argentina ikifika dk 70 huwa wanachoka sana, so hata wao wanabidi wawe waangalifu
 
Tatizo la argentina ikifika dk 70 huwa wanachoka sana, so hata wao wanabidi wawe waangalifu

Columbia hawatishi sana ila si wa kuwapuuzia waliwabana kisawa sawa Brazil sasa leo kwa Argentina tuone itakuwaje.
 
Angel Di Maria: “When Crespo or Bati
were central, you could put the ball for
them to head. We are short, if we do
not play on the ground, it becomes
complicated.”

Hapa Paulo Sergio De Souz atacheka.....jamani ufupi si hoja hata huko kwenu kuna wafupi....lol
 

Attachments

  • 1435305108902.jpg
    1435305108902.jpg
    42.2 KB · Views: 69
Last edited by a moderator:
Angel Di Maria: "When Crespo or Bati
were central, you could put the ball for
them to head. We are short, if we do
not play on the ground, it becomes
complicated."

Hapa Paulo Sergio De Souz atacheka.....jamani ufupi si hoja hata huko kwenu kuna wafupi....lol

Hahahaha, Di Maria ni bonge ya troll. Hahaha kwetu hakuna wafupi, kabisa.
 
Nakumbuka kuwania kwenda world cup 1994 kule USA Colombia alimchapa Argentina 4-0 na Maradona wao,Pele akadiriki kusema Colombia watabeba kombe la dunia,amerika kusini wanajuana wale kwa vilemba mechi zao ngumu kutabiri
 
Ni ngumu sana kutabiri matokeo pindi mataifa yafuatayo yakikutana katika mechi baina yao:

Colombia, Brazil, Uruguay, Argentina na Paraguay...

Nchi za kusini mwa Amerika zinajuana na mechi zao huwa ni ngumu kuweka utabiri...

LEO ARGENTINA VS COLOMBIA nawaonea huruma colombia sababu leo wanacheza na timu mbili uwanjani na ARG wanaweza wakaiweza jee hii ya pili wataiweza????? KAA TAYAR KUMSHUHUDIA KING
 
Ni ngumu sana kutabiri matokeo pindi mataifa yafuatayo yakikutana katika mechi baina yao:

Colombia, Brazil, Uruguay, Argentina na Paraguay...

Nchi za kusini mwa Amerika zinajuana na mechi zao huwa ni ngumu kuweka utabiri...
ucjali mkuu leo messi lazma awe man of the match
 
ucjali mkuu leo messi lazma awe man of the match

Hahah haya kaka...

Nakumbuka Messi aliitosa zawadi ya Man of the match walipocheza na Paraguay ile mechi yao ya mwanzo...

Lio alikasirishwa namna walivyobanwa hadi wakatoa droo, na hata ilipotaka kutolewa kwa Muargentina mwingine wachezaji wote wakaitosa...

Ikabidi tu wapewe wafungaji wa Paraguay...
 
Hahah haya kaka...

Nakumbuka Messi aliitosa zawadi ya Man of the match walipocheza na Paraguay ile mechi yao ya mwanzo...

Lio alikasirishwa namna walivyobanwa hadi wakatoa droo, na hata ilipotaka kutolewa kwa Muargentina mwingine wachezaji wote wakaitosa...

Ikabidi tu wapewe wafungaji wa Paraguay...

Hahah.. ndio messi ni mzur lakin sometimes wanampa asivyo stahil, nilifurah sana alivowachomolea
 
Back
Top Bottom