Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

Huyu refa wa colombia vs Argentina anafaa. Maana kiatu kinatembea no card
 
Mhh!!! Huyu refa naye siyo anaminya nyingi sasa

Refa mkoloni huyu...

Ila ndio marefa wa huko kusini mwa Amerika walivyo ni kama wale wa Kiafrika...

Wagumu mno kupiga filimbi za faulo...
 
What a miss Aguero and Messi ......Ospina bonge la save
 
Refa mkoloni huyu...

Ila ndio marefa wa huko kusini mwa Amerika walivyo ni kama wale wa Kiafrika...

Wagumu mno kupiga filimbi za faulo...

Asizidishe sasa maana ataharibu mechi mwisho wachezaji watachoka wataanza kufanya maamuzi magumu.
 
Yaani hii mechi ni kama ndondo. No ufundi, ni mpira uende mbele tuu.
 
Hii Copa America walipania Messi haswaa!! Leo nafsi inaniambia anaweza kupata goli lake.....
 
Marefa kama hawa huwa wana maamuzi ya kushangaza...

Hakawii kutoa penati refa wa hivi...

Asizidishe sasa maana ataharibu mechi mwisho wachezaji watachoka wataanza kufanya maamuzi magumu.
 
Yaani huyu refa faulo ngumu anapeta, nyepesi anatoa kadi na na faulo
 
Back
Top Bottom