Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

Kocha wa Uruguay Oscar Washington tabarezi inabidi akifumuwe kikosi chake chote kustaafu kwa Mlinzi shupavu Diego Lugano na Mshambuliaji nyota Diego Forlan kufungiwa kwa Suarez ni dhahiri Uruguay wasingeweza kulitetea taji lao
 
Chile waangalie saana na soka lao bovu.. Hawatafika mbali, wanabebwa saana na mbeleko ya uenyeji tu. Rudi Gullit mchambuzi wetu hapa Bein sport anachoka kabisa na maamuzi mabovu ya match official wa leo
 
Kadi ya njano ya pili ni Uonevu wazi hawa waamuzi wengine wanakuwa na haraka saana kutoa maamuzi mabovu

Baada ya kutazama tena inaonekana Jara kamtia dole Cavani...

Ndio chanzo cha Cavani kuzua ule mtiti wote...

Cavani.jpg
 
FT

Chile 1 - 0 Uru

Uruguay anavuliwa ubingwa...

Chile anasonga mbele nusu fainali...

Hata kunistua nkamu gwangu!!....Dah!!! Kichwa mambo mengi......Jana nimeoverlook ratiba nilijua ni Leo...
 
Duh kumbe sababu ni hii
 

Attachments

  • 1435217723414.jpg
    1435217723414.jpg
    17.4 KB · Views: 102
Aiseee!! Ana haki ya kureact, halafu huyu Jara ana matatizo kumbe aliwahi mfanyia hata Suarez kwa kushika ikulu wakati wa World Cup....

Uruguay star Edinson Cavani sent off for slapping Chile defender who 'inserted finger into his anus' - Telegraph - http://www.telegraph.co.uk/sport/football/live-scores/9495217/Live-scores.html

Sema hawa wachezaji wanachokosea huwa hawawapigi kweli, yan kamshika shavu tu unapewa red card??.. Kama unajua hapa nitapewa red card piga kwel kama alivyofanya pepe na zidane
 
Hahaha uchokozi ndio zako. Anyway, ni ngumu kufikiria ningefanya nini, coz sijawahi kuwa victim wa uhuni hata siku moja. Natokea Arusha bana, they know better.

Ahh!! Kumbe ww ni chalii wa Arachuga wahao!! Chalii wa wapi vile Ngarenaro, Matejo ,Mbauda, Unga limited, Kwa Mrombo wapi vile???..........nataka kujua ili nianze kukuogopa nisikuchokoze tena... !!!
 
Ahh!! Kumbe ww ni chalii wa Arachuga wahao!! Chalii wa wapi vile Ngarenaro, Matejo ,Mbauda, Unga limited, Kwa Mrombo wapi vile???..........nataka kujua ili nianze kukuogopa nisikuchokoze tena... !!!

Hehe, smh! Umejuaje sehemu zote hizo? Sakina ndio maskani.
 
Hata kunistua nkamu gwangu!!....Dah!!! Kichwa mambo mengi......Jana nimeoverlook ratiba nilijua ni Leo...

Dah!! pole sana nilidhani umetingwa na majukumu maana sikuweza hata kuona kama upo online...

Mechi za robo fainali zimeanza hiyo jana na zitaendelea leo, kesho na keshokutwa...
 
Hii mambo nilikuwa naiona sana mechi za mchangani zamani...

Makipa ndio walikuwa wanapapaswa sana makalio wakati kona ikipigwa...

Sasa hapo kipa yupo juu, akiguswa kalio anaacha kudaka mpira then watu wanautia kambani...

Si ndio, hivi vitu wanafanya watu wasio wanamichezo na wenye ustaarabu 0. Jamaa inabidi ale ban kama ya Suarez tu, ili iwe fundisho. Vitendo kama hivyo ni vya aibu sana michezoni.
 
Back
Top Bottom