BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
- Thread starter
- #301
Sikuweza kuiona mechi ya Argentina pia lakini kwa matokeo ya 2-2 na kuwasoma wewe na everlenk hapa jamvini inaelekea nao hawakucheza vizuri, hivyo labda kwa kuwa kila timu inajua kupata 3 points ni muhimu ili kuongeza matumaini ya kuingia ngwe inayofuata basi mechi inaweza kuwa ya vuta nikuvute kwa dakika zote 90 au kwa kipindi kirefu katika hizo dakika 90.
Mechi ya leo imekuwa nzuri...
Uruguay hawakucheza sana vizuri mechi yao ya mwanzo sijui kesho mbele ya Argentina watakuaje!!!
Last edited by a moderator: