ACCOUNT FULL
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 1,995
- 389
kili wamrudi sasa hivi..
Salama mkuu.mkuu salama?
Piga hao wafugaji.Gooooooooooooooooooooo.
Zambia1-1Tanzania.
Salama mkuu.
Umeyasikia ya msimbazi weye?
Walienda Wapi?kili wamrudi sasa hivi..
Hao Zambia ni wepesi tu...
Naona vijana waishio Kenya wanatoa sapoti ya kutosha
Hahahahahaha.nimeyasikia...lakini jamaa wanamshindwa nn yule?!
Walienda Wapi?
Mkuu naona na ninyi mmeamua kuibomoa yanga,nasikia mmemsajiri kipa wetu wa zamani Yaw Berko.Zambia wana bahati sana, Ngasa kawakosa tena.
Hahahahahaha.
Mkuu ya Rage ni mavi ya kale ambayosasa hayanuki,kuna jingine pale msimbazi la usajiri wa Yaw Berko hujalipata hilo?
Chezeya msomali weye eeeh!
Nasikia alipigwa misumari,sasa ameichomoa na yuko safi sasa,atatua kesho kwa kenya airways!ohoo.., hyo nmeickia mkuu, hivi amepona bega au?
Nasikia alipigwa misumari,sasa ameichomoa na yuko safi sasa,atatua kesho kwa kenya airways!
Cc Masuke
Mkuu mimi sasa hivi nimehamia kwenye kilimo cha pili pili kichaa, nataka zikiiva niponde ponde halafu naweka kwenye maji naenda kumnywesha Msomali na chai ya Tangawizi kali.Nasikia alipigwa misumari,sasa ameichomoa na yuko safi sasa,atatua kesho kwa kenya airways!
Cc Masuke
Mkuu mimi sasa hivi
nimehamia kwenye kilimo cha pili pili kichaa, nataka zikiiva niponde
ponde halafu naweka kwenye maji naenda kumnywesha Msomali na chai ya
Tangawizi kali.