Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,081
- 12,309
Nikweli au kujipa moyo tu?kwa spirit hiihataethiopia anakaa..
Nikweli au kujipa moyo tu?kwa spirit hiihataethiopia anakaa..
Ndio Kwanza naingia jamani, naomba munijuze mfungaji wa goli letu ni nani?
tusikutane na waganda ! Hawa jamaa wapo speed sana labda ethiopiaPamoja sana mkuu...ngoja tuone tutacheza na nani robo fainali
Ndio Kwanza naingia jamani, naomba munijuze mfungaji wa goli letu ni nani?
Heshima ziende kwake.Samatta
Hilo litoto linajua mahala goli lilipo aisee.Mbwana Ally Samatta
Inabidi kocha aimarishe safu yake ya ushambuliaji, sina hakika na washambuliaji wa timu zingine lakini kwa kuruhusu goli moja hadi sasa inaonekana safu yetu ya ulinzi iko imara chini ya captain Dunga aaha no chini ya nahodha Yondani.Mmh mbona wanaonekana wa kawaida sana...mchezaji msumbufu ni Sserukamba tu na ndiye mpishi wa magoli....Okwi na Kiiza wa kawaida
Inabidi kocha aimarishe safu yake ya ushambuliaji, sina hakika na washambuliaji wa timu zingine lakini kwa kuruhusu goli moja hadi sasa inaonekana safu yetu ya ulinzi iko imara chini ya captain Dunga aaha no chini ya nahodha Yondani.
Mmh mbona wanaonekana wa kawaida sana...mchezaji msumbufu ni Dan Sserunkuma tu na ndiye mpishi wa magoli....Okwi na Kiiza wa kawaida
Hawa alshabab naona sisi peke yetu ndo waliamua kutuwekea kauzibe.Bornwel Mwape kapiga bao na kuifanya Zambia kuwa mbele kwa bao 3 dhidi ya Somalia.