Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Dk 26

Kenya 1 - 0 Zanzibar
 
Dk 45 HT

Kenya 1 - 0 Zanzibar
 
'Munda msaji' = tumbo halitabiriki. Huyu Mtwa Kihwelo ni ndugu yake na Julio? Kama ni 'Ndiyo' tumbo la yule mama lilifanya kweli kumtoa Mtwa, ni mstaarabu sana; lakini tumbo hilo hilo lilibugi kumzaa Julio.
 
'Munda msaji' = tumbo halitabiriki. Huyu Mtwa Kihwelo ni ndugu yake na Julio? Kama ni 'Ndiyo' tumbo la yule mama lilifanya kweli kumtoa Mtwa, ni mstaarabu sana; lakini tumbo hilo hilo lilibugi kumzaa Julio.
ni kaka yake julio huyu ila yeye alikuwa yanga..
 
Second Half imeanza...

Dk 47

Kenya 1 - 0 Zanzibar
 
'Munda msaji' = tumbo halitabiriki. Huyu Mtwa Kihwelo ni ndugu yake na Julio? Kama ni 'Ndiyo' tumbo la yule mama lilifanya kweli kumtoa Mtwa, ni mstaarabu sana; lakini tumbo hilo hilo lilibugi kumzaa Julio.

Hahahah!!!

Watoto wote wa mzee Kihwelo walicheza soka isipokuwa dada yao tu.

Mwanamtwa a.k.a Daliki Moko ni ndugu na Julio, pia alikuwepo Muhesa Kihwelo (marehemu) na mwingine wa nne nimesahau kidogo jinale
 
Dk 62

Kenya 2 - 0 Zanzibar
 
zanzibar nao wachezaji wao wasipoitwa timu ya taifa wanalalamikaaaa kumbe timu yenyewe mboooooovu, wanachojua kuchoma makanisa na kumwagia watu tindikali

hizi ni hasiravtu za kufungwa zanzibar , msinichukie
 
Dk 83

Kenya 2 - 0 Zanzibar
 
Kanyaga twende, kupoteza kwetu kawaida, kutoka suluhu tunashangilia na tukishinda ni bahati.

TANGANYIKA NA ZANZIBAR ndio zetu.
 
Back
Top Bottom