Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Same applies to Uganda Cranes....Micho ameamua kutumia wachezaji wengi wa ndani kama maandalizi ya CHAN...

Kuhusu Ngongoti nadhani atakuwa ameachwa ila kuhusu Amisi Tambwe Mapenati hajaitwa kwa sababu Burundi wanataka watumie wachezaji wao wa ndani ili kujiandaa na mashindano ya CHAN ndo maana hata mshambuliaji wenu hajaitwa.
 
Kuhusu Ngongoti nadhani atakuwa ameachwa ila kuhusu Amisi Tambwe Mapenati hajaitwa kwa sababu Burundi wanataka watumie wachezaji wao wa ndani ili kujiandaa na mashindano ya CHAN ndo maana hata mshambuliaji wenu hajaitwa.

Nimekupata Mkuu.
 
Vipi tbc 1? watarusha game au ndio twende tukalipie tbc2??Ratiba ikoje Leo??
 
Vipi tbc 1? watarusha game au ndio twende tukalipie tbc2??Ratiba ikoje Leo??

Mechi zote zinarushwa na TBC1

Match Day 8

14:00 Sudan Kusini vs Ethiopia

16:00 Kenya vs Zanzibar
 
Dk 45 HT

Sudan Kusini 0 - 0 Ethiopia
 
Dk 55

Sudan Kusini 0 - 1 Ethiopia
 
Kwani hakuna bunge saa 11 jioni?

Sina uhakika mkuu kama watarusha matangazo ya bunge au haya ya mpira...

Kama wasipoonesha bado unaweza uka tune kwa S9 au Select, UBC au KBC
 
Sina uhakika mkuu kama watarusha matangazo ya bunge au haya ya mpira...

Kama wasipoonesha bado unaweza uka tune kwa S9 au Select, UBC au KBC

Nipo home na star times!!
 
Dk 70

Sudan Kusini 0 - 1 Ethiopia
 
Dk 85

Sudan Kusini 0 - 2 Ethiopia
 
Dk 85

Sudan Kusini 0 - 2 Ethiopia

TBC 1 wanaanza kuonyesha but km kuna bunge tunaweza kupotezana half time! Tbc hawaamini hata kidogo. Leo watakutangazia game zote live kesho bila hata samahani watakata matangazo
 
Dk 90 FT

Sudan Kusini 0 - 2 Ethiopia
 
TBC 1 wanaanza kuonyesha but km kuna bunge tunaweza kupotezana half time! Tbc hawaamini hata kidogo. Leo watakutangazia game zote live kesho bila hata samahani watakata matangazo

Jaribu mkuu UBC au KBC...mimi sijawahi kutumia kisimbusi cha Startimes wala sijui packages zake, huenda hizo channels mbili zipo maana nina uhakika zinaonesha hizo.
 
Ethiopia inaungana na Uganda pamoja na Sudan kujongea hatua inayofuata ya Robo Fainali.

Mechi Zanzibar na Kenya itatoa timu nyingineyo itayojongea Robo Fainali
 
Dk 6

Kenya 1 - 0 Zanzibar
 
Back
Top Bottom