Rwanda katolewa rasmi ktk mashindano!!! kapigwa 1 na Sudan..Now Uganda v Eritrea. Okwi, kiiza ndani.
Mchezaji bora wa mwanaspoti kashindwa kuisaidia timu yake ya Taifa?
Mkuu mimi nilikuwa nauliza tu, lakini angalau George Weah unaweza sema kwamba aliokuwa anacheza nao kwenye klabu angalau walipokuwa kwenye timu zao za Taifa walikuwa wanafanya vizuri pia lakini huyu mchezaji bora wa mwanaspoti hata wale anaocheza nao kwenye klabu yake wawapo timu ya Taifa wanambwelambwela tu hadi Somalia kawatoa jasho, hapo lazima kuwe na maswali kwa nini wakikutana kwenye klabu wanaonekana ni bora hadi mwanaspoti anawatuza.Hata George Opong Weah alikuwa mchezaji bora wa dunia huku timu yake ya Liberia ikishindwa kufurukuta hata mbele ya Taifa Stars; Sembuse Niyonzima! Mkuu Masuke huu ukweli unaufahamu, kinachokusumbua ni usimbasimba tu.
naona uganda wanatoa dozi balaa..
Mkuu Masuke tatizo la TZ ni strikers hebu angalia timu iliyocheza na Somalia nani alikuwa Ace Striker? Hakuna pale mbele waliwekwa viungo akina Kiemba na Ngassa, hivyo timu inapocheza bila strikers unategemea magoli yatoke wapi? Niyonzima naye ni kiungo siyo striker, unategemea afanye nini? Yanga hakuna rushwa; Simba na Azam ndio zao.
Masuke commented on Yanga Vs JKT Ruvu said:Kwa kweli Tanzania hatuna timu za maana (Yanga pamoja na kuongoza magoli matatu wanabutua butua tu na wengi wako timu ya Taifa halafu wanawakilisha nchi kwenye ligi ya mabingwa) sasa najua kwa nini Taifa star haifanyi vizuri na hata mashindano ya CAF vilabu vyetu havifanyi vizuri, Asante Azam TV kutuonyesha uozo wa ligi yetu.
Hivi yule ngongoti wa Simba toka Uganda mbona hadakii Cranes na Amisi Mapenati mbona haonekani katika timu ya Intamba Murugamba? Masuke, tiririka Mkuu.