Hatimaye aliyekua mkuu wa shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Arudishwa kazini. habari ni uhakika kutoka kikao kinachoendelea kati ya PAC, WIZARA NA BODI YA TANESCO. seems huyu Eng alihujumiwa kisiasa.
Hatimaye aliyekua mkuu wa shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Arudishwa kazini. habari ni uhakika kutoka kikao kinachoendelea kati ya PAC, WIZARA NA BODI YA TANESCO. seems huyu Eng alihujumiwa kisiasa.
Hatimaye aliyekua mkuu wa shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Arudishwa kazini. habari ni uhakika kutoka kikao kinachoendelea kati ya PAC, WIZARA NA BODI YA TANESCO. seems huyu Eng alihujumiwa kisiasa.
Katibu mkuu alipanic baada ya pressure ya Bunge!...Otherwise jamaa katika barua zake alijieleza vizuri sana, na i can see from a mere look of the eye kuwa jamaa yuko very innocent!
mmmmmmmmmmmmmh
hivi hawa viongozi wanafanya maamuzi kwa faida ya watanzania ama matumbo yao binafsi? hizi siasa zitaingilia mambo ya utendaji hadi lini?
kuna neno la kiingereza linaitwa "authenticity" (the degree to which one is true to one's own personality) ni muhimu sana maana hiyo source inakuwa ndani yake na mleta habari amelithibitisha hilo sasa unataka nini tena.
Katibu mkuu alipanic baada ya pressure ya Bunge!...Otherwise jamaa katika barua zake alijieleza vizuri sana, na i can see from a mere look of the eye kuwa jamaa yuko very innocent!
Hatimaye aliyekua mkuu wa shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Arudishwa kazini. habari ni uhakika kutoka kikao kinachoendelea kati ya PAC, WIZARA NA BODI YA TANESCO. seems huyu Eng alihujumiwa kisiasa.