Special kwa wachagga tu.

Special kwa wachagga tu.

Salamander

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2012
Posts
28,536
Reaction score
15,751

wachaga.jpg
 
Ni safi saana lakini balaa lake ni chooni huwa inatoa harufu ukienda haja ndogo.Na ikilala inakuwa NGERA inazidi ukali.
 
"Masambu" ni yale machicha yanayolala chini kabisa
Ukiichanganya na konyagi ni nomaa wee acha tu babangu
 
Aisee babangu inabidi TBL watengeneze special kama ile Chibuku waisambaze kila mahali..
 
Kuna mtu mmoja hajapitia hapa,ntashangaa labda bundle imekuwa tatizo
 
Kwa kuitazama tu hii itakuwa ya kibosho au sio miss chagga?? Tatizo hii kabla hujainywa ni lazima usikitike hapo ndio panaudhi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom