Special appreciation to Special operative-Prof Mruma!

Special appreciation to Special operative-Prof Mruma!

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,534
Reaction score
31,198
Ama kwa hakika tumsifu na tumtangaze Prof Mruma kuwa shujaa wa Taifa!

Profesa huyu alijipenyeze kwenye uwenyekiti wa bodi na sekta mbalimbali za madini kwa kazi maalumu ya kupata taarifa na mbinu mbalimbali za kuzuia wizi wa miaka mingi wa rasilimali hizi.
Amerisk maisha yake na amejitoa muhanga kwa ajili ya Mama Tanzania.


Kupitia ukurasa huu tutoe pongezi zetu za dhati.
 
Nchii hii ni hatari. Mi naendelea kuandika script

‍♂️naenda zimbobo.
 
Back
Top Bottom