funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,534
- 31,198
Ama kwa hakika tumsifu na tumtangaze Prof Mruma kuwa shujaa wa Taifa!
Profesa huyu alijipenyeze kwenye uwenyekiti wa bodi na sekta mbalimbali za madini kwa kazi maalumu ya kupata taarifa na mbinu mbalimbali za kuzuia wizi wa miaka mingi wa rasilimali hizi.
Amerisk maisha yake na amejitoa muhanga kwa ajili ya Mama Tanzania.
Kupitia ukurasa huu tutoe pongezi zetu za dhati.
Profesa huyu alijipenyeze kwenye uwenyekiti wa bodi na sekta mbalimbali za madini kwa kazi maalumu ya kupata taarifa na mbinu mbalimbali za kuzuia wizi wa miaka mingi wa rasilimali hizi.
Amerisk maisha yake na amejitoa muhanga kwa ajili ya Mama Tanzania.
Kupitia ukurasa huu tutoe pongezi zetu za dhati.
♂️naenda zimbobo.