Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,919
Ndugu zangu watanzania na wana CCM wenzangu .Kwa mara nyingine tena nimeona maamuzi ya kimabavu lakini ya kuijenga Chadema kwa Makinda kukataa muongozo wa Tundu Lussu juu ya idadi ya wabunge kupitisha matumizi ya wizara muda huu .Lissu kaomba muongozo na Makinda kuwa stressed na kukataa kwamba muda unapotea wakati kaambiwa idadi ya waliomo ndani .Kisha akasema blindly kwamba mimi naona idadi inatosha na kuendelea na ratiba .Nimeshangaa sana kama Bunge linaweza kukiuka utaratibu na kanuni in the open je baada ya wao toka mjengoni ni watunga sheria unategemea nini mahali kama polisi , mahakamani nk ?
Tunawalalamikia Chadema kila siku lakini do we see how are being well promoted na Makinda kwa maamuzi ya kibabe ila ni sumu kwa CCM na Tanzania yetu ? Maana watanzania wana angalia ama kusikiliza Bunge .Wewe unasemaje kwa kitendo hili cha kuwaminya Chadema hadi kushindwa kujiridhisha kwa kuhesabu walioko kabla ya kuamua ?
Tunawalalamikia Chadema kila siku lakini do we see how are being well promoted na Makinda kwa maamuzi ya kibabe ila ni sumu kwa CCM na Tanzania yetu ? Maana watanzania wana angalia ama kusikiliza Bunge .Wewe unasemaje kwa kitendo hili cha kuwaminya Chadema hadi kushindwa kujiridhisha kwa kuhesabu walioko kabla ya kuamua ?