Hvi karibuni pikipiki yetu ya ofisi ilikamatwa kwa kuvunja sheria ya kuingia mjini bila kibali,Polisi waliichukua mpaka kituoni,tukaambiwa tulipie faini kituoni,Pikipiki ililala pale kituoni cku moja cku tunaenda kuichukua tukakuta Mafuta kwenye pikipiki hakuna,Oil nayo haipo,na Plagi nayo haipo,Katika kuuliza uliza watu wa karibu na pale wakasema cyo nyie tu,Na hvyo vitu wanaweka ktk pikipiki zao,