1. Kwa hakika hayapo mafanikio bila jasho na ikibidi bila damu:
2. Wapalestina na HAMAS wamemaanisha kwa heri na shari, kwa maneno na vitendo.
3. Leo dunia inatambua hata kwa kuwaangalia usoni tu, wana maanisha: "wanaitaka nchi yao sasa."
4. Tokea 1947, Spain hatimaye somo limeeleweka; mdogo mdogo watafika tu.
5. Wapalestina wakikinukisha kutaka haki yao, sisi tunalia lia tupewe katiba mpya mezani.; tunaogopa kuvunjwa miguu au kufa.
6. Kufa kitu gani kwenye kupigania haki?
7. Walikufa babu zetu wakpinga kutawaliwa, wakipigania uhuru; kwetu hao ni mashujaa.
8. Wafao wakipigania haki hufa kishujaa.
2. Wapalestina na HAMAS wamemaanisha kwa heri na shari, kwa maneno na vitendo.
3. Leo dunia inatambua hata kwa kuwaangalia usoni tu, wana maanisha: "wanaitaka nchi yao sasa."
4. Tokea 1947, Spain hatimaye somo limeeleweka; mdogo mdogo watafika tu.
5. Wapalestina wakikinukisha kutaka haki yao, sisi tunalia lia tupewe katiba mpya mezani.; tunaogopa kuvunjwa miguu au kufa.
6. Kufa kitu gani kwenye kupigania haki?
7. Walikufa babu zetu wakpinga kutawaliwa, wakipigania uhuru; kwetu hao ni mashujaa.
8. Wafao wakipigania haki hufa kishujaa.