Asante kwa kunifafanulia kwa undani jambo hili....ki ukweli naweza kukiri kuwa ni uvivu wa kufuatilia lakini nimefurahi sana hawa jamaa kupata uhuru......nimekuwa nikikutana nao wengi wao Kenya na kuwahurumia jinsi ambavyo unaweza kufeel kuwa mkimbizi katika nchi yako.......sasa kingine.....mbona Kenya imekuwa mstari wa mbele sana katika ukombozi wao....nikinyanyua ramani yangu naona Kenya ndio imepakana nao kwa kiasi kidogo sana ukilinganisha na Uganda, DRC, CAR na hata Ethiopia....nini Kenya inataka hapa......
Wakati wakipigana vita na waarabu walikuwa wanasaidiwa na Israel, nchi zingine zote ziliwabania, misaada hiyo ilikuwa inapitia Kenya. Pili kambi za wakambizi wao nyingi zipo Kenya, kama vile sisi tulivyo na wakimbuzi wa Rwanda/Burundi na DRC, tatu Kenya ina majority ya wakiristo na wale wasudan wa kusini ni wakiristo. North Uganda na mipaka mingine uliyoitaja ina influence za waislamu ambao naturally ni wapambe/watwana wa waarabu.