South Sudan 'agrees to $8bn deal' with China

Nimeipenda gea ya kuhamia kwenye Kiswahili. Pengine mtapunguza hoja za kupimana viingereza hapa, ili muweze kujadili maendeleo.
Bukyanagandi said:
Baadhi yao nimesoma nao majigambo tu hawana lolote, labda niwachekeshe kidogo: Kuna siku tuliwahi kukaribishwa mahali, wenyeji wetu walihanza kutudadisi kwa kusema nasikia Wafrica mnaweza kuzungumza lugha zaidi ya moja yaani: lugha ya kienyeji, lugha ya Taifa nk - nakahulizwa mimi, eh lugha yenu ya Taifa ni hipi nikajibu "KISWAHILI" mwenyeji wetu alionekana kufurahishwa na jibu langu, ikafika zamu ya Mzambia yeye alisema kusema kweli sisi huwa tunazungumza zaidi Kinyanja tukiwa Lusaka na Kibemba nje ya mji mkuu na kwa bahati nzuri wote tunazijua lugha hizo, isipokuwa mashuleni na makazini tunatumia kingereza kama official language. Sasa ikaja zamu ya Mkenya yeye akamweleza mwenyeji wetu kwa mbwembwe kwamba national language yao ni kingereza! Mwenyeji wetu alicheka sana akamwambia taifa lenu halina lugha walao ya kienyeji mkakifanya a national language, jamaa niliona alishtuka kidogo na kusema "oh sorry, pia na sisi tunazungumza kiswahili". Ninacho taka kueleza humu ni kwamba wakati mwingine hawa wenzetu wanakuwa na majivuno yasiyo na tija - nadhani yeye alifikili akisema national language yao ni kingereza basi mwenyeji wetu atawaona wame endelea sana na si kinyume chake.

Well said wakuu, tatizo ni kuwa wengi wa hawa vijana wetu toka nchi jirani hakuna lugha wanayoielewa vizuri, iwe kiswahili ama kiingereza) ndo maana kama mnafuatilia vizuri mijadala mingi humu jamnvini (Int. forum) mtaona kila baada ya sentensi moja lazima wabandike mitusi ya nguoni ili kujihami/kuzima mjadala...Kwa sababu hawawezi kujenga wala kujibu hoja vizuri, hii ni dalili ya tatizo linalotokana na kutojua matumizi sahihi ya lugha.
 
Labda mnaitawala Somalia. Hakuna nchi nyingine mtakayotia mguu mkabaki salama. Time will prove me right or wrong but you guys have ran out of ideas....

Mkuu mwaka jana walijitia kuwatishia Waganda kuhusu Kisiwa fulani katika lake Victoria (nimesahau jina), Waganda wakawambia jaribuni muone - bahati nzuri Mzee Kibaki ni mtu mwenye busara sana, alijua wakifanya fyoko watanyukwa mpaka Mombasa, kwa hiyo akakubali yaishe - juzi juzi nilikuwa nasoma article fulani ambayo Museveni alikuwa anawashutumu wenzetu hawa kuhusu Somalia, Museveni anawajua vizuri walivyo na alichokuwa anazungumza ni kweli, alafu leo hii mdosi anakuja na mpya eti "wanaweza kutawala Africa Mashariki" anaota ndoto za Alinacha mchana kweupe!!

We jaribu kuagalia vitu wanavyo letwa/andikwa humu, havina kichwa wala miguu; awalali wanakesha wakibuni mbinu za kijinga za kuonyesha eti Kenya imefanya hili sijuhi lile mambo wanayo zungumza niya kawaida sana, lakini wana yakuza sana, muda wote wanaji-involve kwenye childish publicity STUNTS (nasema si wote lakini wengi wao wana usongo sana na TANZANIA). Watu wanao jiamini wanakaa kimya matendo yao ndiyo yanadhililisha dunia kwamba hawa jamaa zaidi, watu na akili zao they don't rove around bragging mambo madogo madogo tu, mnashindwa na Uchina ambayo inafanya mahajabu lakini hiko kimya.

Nakaa najiuliza hivi hawa watu wanafikili tuko kwenye ushindani nao wa aina fulani au nini? and why are U hell bent to pick on Tanzania if I may ask!! Yaani wanaona social network yetu ndio mahali paku-vent hasira zao kutokana na msimamo wetu wa kukataa kuingizwa kwenye mkenge tena, wanafikili tumesahau unyama wao wa kuvunja East Africa na kuondoka na mali karibu zote za Jumuhia ya Africa Mashariki.

Nchi yenyewe ndogo inaweza kuingia Tanzania mara mbili na ushee, nusu yake ni jangwa, arable land ni ndogo sana na kidogo hicho kimekuwa-grabbed na watu wachache tu wenye uwezo, hawana vast natural resources kama za Tanzania to talk about and they know it, hapa wanajitia kuwa na dutch courage ya kubeza everything TANZANIAN, tatizo lao ni moja ya traits za watu ambao hawajiamini, oh yes deep down wanajua fika kwamba it's a question of time kabla TANZANIA aijaipiku Kenya kiuchumi - kwa hiyo wanacho fanya nikujihusisha na dirty campaign zakujaribu ku-undermine nchi yetu, vitu kama:


  • Kujaribu kutuwekea spana hili ujenzi wa barabara kupitia nje kidogo ya Seregeti usifanikiwe - nataka kuwambieni Tanzania siyo koloni la Kenya hamna ubavu wakuweza kuzuia ujenzi huo, rain or shine itajengwa.


  • Wanajenga kiwanja cha ndege mpakani karibu na Kilimanaro Airport, wanakihuka makubaliano ambayo waliwahi kuafikiana na Tanzania.


  • Wanajaribu kuwashawishi wanajumuhia wengine waione TANZANIA kama ni kikwazo kwa azma zao na ajenda zao siri kuhusu Tanzania, wanafikili atuwajuhi.

Mwisho nimalizie kwa kusema kwamba, hatuhitaji lecture zenu kuhusu jinsi ya ku-run Taifa letu - kila Taifa lina mipango yake, mambo mnayo yafanya nchini kwenu keep it to yourselves na Mungu wenu, msituletee malumbano ambayo hayana tija kwetu na msifikili maneno yenu ya kejeri yanaweza kubadilisha chochote katika msimamo wa Taifa letu kuhusu JUMUHIA, tunawaombea/watakia AMANI.
 
Hahahaha...here you go again tryna twist the real picture.

...The collapse of East African currencies is not determined by the KE shilling wewe morio. The dice
starts to role when the US dollar and the Euro start rolling...thats where the so called starts!!!
Wewe unataka kutuambia ni hio shillingi ya Kibaki na mtoto wake Uhuru Kenyatta. Toa hio lete nyengine aisee...:wave:

hahaha.....i step out for a cup of coffee and you plus a whole lot of tanzanians are on me. Anyway lets get our data straight; strength of any currency is primarily determined by what we call BOP (balance of payment check book) and not the eurozone and dollar. i presume u know what this is but u kinda forgot, its the import cheque vs export cheque difference. Primarily we in East Africa are net importers implying our BOP runs to the (-) negative hence our currencies are weaker and rely heavily on foreign reserves to trasanct business in this case Dollars and the Euros.
At the time the Kenyan shilling slumped, we had an artificial shortage of this commodity (dollars n euros) courtesy of selfish parties.... it wasnt the typical global meltdown as Kenya wanted its citizenry to believe. I hope you are following; with limited reserves it meant Kenya lacked the bargaining power and good imported consequently would end up being costly and the same is passed to consumers which rises inflation. Uganda being solely dependent on Kenyas infrastructure ends up being a victim of circumstance and inherits what we call 'borrowed inflation'....the situation is made worse by the fact that Uganda raided its forex reserve coffers to buy some six pieces of Sukhoi wnich ofcourse causes no one sleepless nights at KDF.lol. Anyway, by so doing Uganda made her belly prone and her banking sector is literally fighting to stay afloat, her central bank is still battling inflation n her currency is battered to pulp.
Dont tell me that Tanzania was affected by the European meltdown, african economies are still virgins and have less liquidity in credit form to be affected by oversea shocks; say to a very limited extent and to be realistic tourism was the most vulnerable industry but not as such cause all EAC states recorded profit gains over the last FY.
 
Baadhi yao nimesoma nao majigambo tu hawana lolote, labda niwachekeshe kidogo: Kuna siku tuliwahi kukaribishwa mahali, wenyeji wetu walihanza kutudadisi kwa kusema nasikia Wafrica mnaweza kuzungumza lugha zaidi ya moja yaani: lugha ya kienyeji, lugha ya Taifa nk - nakahulizwa mimi, eh lugha yenu ya Taifa ni hipi nikajibu "KISWAHILI" mwenyeji wetu alionekana kufurahishwa na jibu langu, ikafika zamu ya Mzambia yeye alisema kusema kweli sisi huwa tunazungumza zaidi Kinyanja tukiwa Lusaka na Kibemba nje ya mji mkuu na kwa bahati nzuri wote tunazijua lugha hizo, isipokuwa mashuleni na makazini tunatumia kingereza kama official language. Sasa ikaja zamu ya Mkenya yeye akamweleza mwenyeji wetu kwa mbwembwe kwamba national language yao ni kingereza! Mwenyeji wetu alicheka sana akamwambia taifa lenu halina lugha walao ya kienyeji mkakifanya a national language, jamaa niliona alishtuka kidogo na kusema "oh sorry, pia na sisi tunazungumza kiswahili". Ninacho taka kueleza humu ni kwamba wakati mwingine hawa wenzetu wanakuwa na majivuno yasiyo na tija - nadhani yeye alifikili akisema national language yao ni kingereza basi mwenyeji wetu atawaona wame endelea sana na si kinyume chake.

mbona nini kinakufuraisha hapa? mlikuwa wote mwajipendeza kwa huyo mwenyeji ama uoni? kwa kweli waenga walinena nyani hawezi uona mkundule wake
 
Tukiwafuata nyinyi kama mnavyotaka we will lose our sovereight. We know that very well. Hizi shule mkawafundishe wasomalia labda bado hawawajui vizuri.

i have a limited window before i chuck to other important biz but point taken, thank YOU. Sovereignity of a state can only be alluded to when it achieves the capacity to be self~sufficient in its budget funding. Jussayn.
 
Mkuu mwaka jana walijitia kuwatishia Waganda kuhusu Kisiwa fulani katika lake Victoria (nimesahau jina), Waganda wakawambia jaribuni muone - bahati nzuri Mzee Kibaki ni mtu mwenye busara sana, alijua wakifanya fyoko watanyukwa mpaka Mombasa, kwa hiyo akakubali yaishe - juzi juzi nilikuwa nasoma article fulani ambayo Museveni alikuwa anawashutumu wenzetu hawa kuhusu Somalia, Museveni anawajua vizuri walivyo na alichokuwa anazungumza ni kweli, alafu leo hii mdosi anakuja na mpya eti "wanaweza kutawala Africa Mashariki" anaota ndoto za Alinacha mchana kweupe!!

We jaribu kuagalia vitu wanavyo letwa/andikwa humu, havina kichwa wala miguu; awalali wanakesha wakibuni mbinu za kijinga za kuonyesha eti Kenya imefanya hili sijuhi lile mambo wanayo zungumza niya kawaida sana, lakini wana yakuza sana, muda wote wanaji-involve kwenye childish publicity STUNTS (nasema si wote lakini wengi wao wana usongo sana na TANZANIA). Watu wanao jiamini wanakaa kimya matendo yao ndiyo yanadhililisha dunia kwamba hawa jamaa zaidi, watu na akili zao they don't rove around bragging mambo madogo madogo tu, mnashindwa na Uchina ambayo inafanya mahajabu lakini hiko kimya.

Nakaa najiuliza hivi hawa watu wanafikili tuko kwenye ushindani nao wa aina fulani au nini? and why are U hell bent to pick on Tanzania if I may ask!! Yaani wanaona social network yetu ndio mahali paku-vent hasira zao kutokana na msimamo wetu wa kukataa kuingizwa kwenye mkenge tena, wanafikili tumesahau unyama wao wa kuvunja East Africa na kuondoka na mali karibu zote za Jumuhia ya Africa Mashariki.

Nchi yenyewe ndogo inaweza kuingia Tanzania mara mbili na ushee, nusu yake ni jangwa, arable land ni ndogo sana na kidogo hicho kimekuwa-grabbed na watu wachache tu wenye uwezo, hawana vast natural resources kama za Tanzania to talk about and they know it, hapa wanajitia kuwa na dutch courage ya kubeza everything TANZANIAN, tatizo lao ni moja ya traits za watu ambao hawajiamini, oh yes deep down wanajua fika kwamba it's a question of time kabla TANZANIA aijaipiku Kenya kiuchumi - kwa hiyo wanacho fanya nikujihusisha na dirty campaign zakujaribu ku-undermine nchi yetu, vitu kama:


  • Kujaribu kutuwekea spana hili ujenzi wa barabara kupitia nje kidogo ya Seregeti usifanikiwe - nataka kuwambieni Tanzania siyo koloni la Kenya hamna ubavu wakuweza kuzuia ujenzi huo, rain or shine itajengwa.


  • Wanajenga kiwanja cha ndege mpakani karibu na Kilimanaro Airport, wanakihuka makubaliano ambayo waliwahi kuafikiana na Tanzania.


  • Wanajaribu kuwashawishi wanajumuhia wengine waione TANZANIA kama ni kikwazo kwa azma zao na ajenda zao siri kuhusu Tanzania, wanafikili atuwajuhi.

Mwisho nimalizie kwa kusema kwamba, hatuhitaji lecture zenu kuhusu jinsi ya ku-run Taifa letu - kila Taifa lina mipango yake, mambo mnayo yafanya nchini kwenu keep it to yourselves na Mungu wenu, msituletee malumbano ambayo hayana tija kwetu na msifikili maneno yenu ya kejeri yanaweza kubadilisha chochote katika msimamo wa Taifa letu kuhusu JUMUHIA, tunawaombea/watakia AMANI.

ntakujibu hadi nilipoweza kusoma....ujumbe wako ni mrefu mno na mada kuu ni lalama. Kenyans have nothing against Tanzania, for a fact Kenya is better developed to Tz, better diversified in its economy and is one of the few coutries around the world that is non mineral based edging closely to a knowledge based economy. Those are just facts. what topics are you alluding to that have no meaning? I would prefer you engage with the persona's causing u sleepless nights rather than searching for a spot in a corner and complain, scream and do lotsa cursing, EAC is a regional initiative and Tanzania has the right to pull out of it if she feels she aint sitting pretty. At one time the rest of East Africa almost wanted to take off without her so saying we are forcing EAC on u is a plain lie. Your technocrats are well advised about EAC better than you n me n if they had any outstanding issues they wouldnt be around what you villify with great distaste. I never read your whole post owing to its length but i have replied to your header n partly to your footer.....
 
mbona nini kinakufuraisha hapa? mlikuwa wote mwajipendeza kwa huyo mwenyeji ama uoni? kwa kweli waenga walinena nyani hawezi uona mkundule wake

Mkuu kuna mwana JF aliwahi kukwambia kwamba u-grow up! Jaribu kumuiga mwenzako Livefire wakati mwingine akihamua ana andika SUBSTANCE.
 
Back
Top Bottom