South Africa nitafikaje?

Kwanjia ya Bus inafaa, sema utasumbuana na askari wa mipakani, utazunguka sana, utatoa rushwa sana, ila kama una makaratasi, haina shida... Na kama una pasport bora utumie ndege tu.. Kuna watu wanakufa sana kwa njia ya bus

Wanakufa kwa nini mkuu?
 
Wabongo hampendi kuvaa vitu vya bongo.....alafu pia kupata kazi iyo nayo ni mbwai kama huna refa.....in short tanzania inachangamoto nyingi sana.
 
Wabongo hampendi kuvaa vitu vya bongo.....alafu pia kupata kazi iyo nayo ni mbwai kama huna refa.....in short tanzania inachangamoto nyingi sana.
Shida unapokuwa na mawazo ya kuajiriwa tu sio kujiajiri mwenyewe ndio inapokuwa changamoto kubwa!
 
Ndugu yangu shibekijijini baki bongo south unafuata nini? Huku kuna bastola nje nje hapafai kabisa
Code: ._ _ _ _ ..... _.... .._ _ _ _ _ _ _ _ ._ _ _ _ …_ _ kama siyo hivyo, basi ni trh 15/2/13 yaani miaka minne na siku 6 hadi siku ya leo.
Mkuu, ninajaribu unajimu kutaka kutanzua kitendawili kilichobeba avatar yako.
 
Code: ._ _ _ _ ..... _.... .._ _ _ _ _ _ _ _ ._ _ _ _ …_ _ kama siyo hivyo, basi ni trh 15/2/13 yaani miaka minne na siku 6 hadi siku ya leo.
Mkuu, ninajaribu unajimu kutaka kutanzua kitendawili kilichobeba avatar yako.
Sorry I mean dated 15 june 2013
 
Fastjet laki 3 tu, hiyo lakimbili iliyobaki unaanzia maisha, naskia south Wanaruhusu raia kutoka TZ akae miezi mitatu bila visa.. So hapo ukishaingia kule utajua ufanye nini ili uwakwepe polisi au upate work permit ya professional yako..
Mkuu hivi fast jet bado wanaenda south
 
Usafiri gani Wa anga ambao Ni cheap mkuu?
Rwanda air na Ethiopia sema ukate wiki Mbili kabla ya safari ila pia inategemeana na season miezi ya sikukuu hiyo inayokuja huwa nauli inakua juu lakini Rwanda December ndio nauli inachangamka...
 
Rwanda air na Ethiopia sema ukate wiki Mbili kabla ya safari ila pia inategemeana na season miezi ya sikukuu hiyo inayokuja huwa nauli inakua juu lakini Rwanda December ndio nauli inachangamka...
Shukran mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…