Kwanjia ya Bus inafaa, sema utasumbuana na askari wa mipakani, utazunguka sana, utatoa rushwa sana, ila kama una makaratasi, haina shida... Na kama una pasport bora utumie ndege tu.. Kuna watu wanakufa sana kwa njia ya bus
Ah mbona unataka kupasua mbavu za watu ww! Mashamba mbona yapo Tz ya kutosha, Hapa Tz mbona tunavaa sana viatu na unaweza tu kuanzisha kijiwe tukakutumia kuving'arisha viatu vyetu, na pia mbona tunavifaa vya kutosha vinavyohitaji ujuzi wako wa IT! Ukistaajabu ya Musa kweli utayaona ya filauni…wazee wetu wa zamani walipambana wasipelekwe nchi za mbali utumwani lakini kizazi cha leo kinakimbilia kwenda utumwani…pole yako!
Code: ._ _ _ _ ..... _.... .._ _ _ _ _ _ _ _ ._ _ _ _ …_ _ kama siyo hivyo, basi ni trh 15/2/13 yaani miaka minne na siku 6 hadi siku ya leo.
Mkuu, ninajaribu unajimu kutaka kutanzua kitendawili kilichobeba avatar yako.
Code: ._ _ _ _ ..... _.... .._ _ _ _ _ _ _ _ ._ _ _ _ …_ _ kama siyo hivyo, basi ni trh 15/2/13 yaani miaka minne na siku 6 hadi siku ya leo.
Mkuu, ninajaribu unajimu kutaka kutanzua kitendawili kilichobeba avatar yako.
Fastjet laki 3 tu, hiyo lakimbili iliyobaki unaanzia maisha, naskia south Wanaruhusu raia kutoka TZ akae miezi mitatu bila visa.. So hapo ukishaingia kule utajua ufanye nini ili uwakwepe polisi au upate work permit ya professional yako..
Rwanda air na Ethiopia sema ukate wiki Mbili kabla ya safari ila pia inategemeana na season miezi ya sikukuu hiyo inayokuja huwa nauli inakua juu lakini Rwanda December ndio nauli inachangamka...
Rwanda air na Ethiopia sema ukate wiki Mbili kabla ya safari ila pia inategemeana na season miezi ya sikukuu hiyo inayokuja huwa nauli inakua juu lakini Rwanda December ndio nauli inachangamka...