Asante sana kwa ushauri mzuri sana.Unaposema uko vizuri kwa kulima hasa kwa kutumia jembe la mkono una maanisha nini? Umejuaje kama upo vizuri kwa kulima na hasa kwa kutumia jembe la mkono? Ulipata faida ya mazao au unalima heka moja kwa jembe la mkono,kwa saa moja?
Tafuta Passport,nenda kwa ndege ukajaribu maisha acha kuwasikiliza wakatisha tamaa,uamuzi unao wewe mwenyewe coz humu wapo watakao kwambia,nenda na wapo watakao kwambia usiende.
Bro kiujumla nadhani hata ukisoma thread zangu nadhani unaweza kuelewa mimi ni mtu wa namna gani, kiujumla nina hofu ya Mungu. Na kwa umri nilio nao sidhani km naweza kufikia hatua ya kujiunga na makund mabaya, kiufupi na jitambua. AsanteHuko south ukifika kuwa mstaarabu na Fanya yote usiingie jela zao na kama utakuwa cape town kuwa raia mwema usiingie jela ya polymouth chonde chonde
Ushauri wangu ni huo tu. Kuna majamaa wengi wametoboa nawajua ila wengi wanafanya illegal activities huko south kuuza bangi,madawa
Ah mbona unataka kupasua mbavu za watu ww! Mashamba mbona yapo Tz ya kutosha, Hapa Tz mbona tunavaa sana viatu na unaweza tu kuanzisha kijiwe tukakutumia kuving'arisha viatu vyetu, na pia mbona tunavifaa vya kutosha vinavyohitaji ujuzi wako wa IT! Ukistaajabu ya Musa kweli utayaona ya filauni…wazee wetu wa zamani walipambana wasipelekwe nchi za mbali utumwani lakini kizazi cha leo kinakimbilia kwenda utumwani…pole yako!Ndugu zanguni, kwanza kabisa nawasalimien wote. Naomba mnisaidie mimi nina kiasi cha Shilingi Lack 5 cash, nahitajj msaada wa kufika tu South Africa. Swali langu kubwa linalo nitesa ni kwamba, Nikitoka Dar kwa njia ya Bus nikifika South Africa Mwisho wa Bus huo mji unaitwaje? Na je ntapata Guest ya kulala ya bei ndogo? Na ni sh ngapi? Na ili nipate hiyo Guest itabidi niusafiri /AU nielekee wapi? Nb nikifika huko sitegemei Kurudi Tz, ujuzi nilio nao ni IT.lakini pia nilisha wahi kuwa fundi Viatu. Je huko naweza kupata ajira? Lakin Pia niko vzr kwa kulima hasa kwa kutumia jembe la mkono. Asante.
Haaaaaaaaaaaaaa. Imebidi nicheke tuMkuu nenda tu, maisha ni popote...!
Tz si salama tena.
Ila nilicho gundua Cape Town ni mbali Sana, Hasa ukishukia Johannesburg.Huko south ukifika kuwa mstaarabu na Fanya yote usiingie jela zao na kama utakuwa cape town kuwa raia mwema usiingie jela ya polymouth chonde chonde
Ushauri wangu ni huo tu. Kuna majamaa wengi wametoboa nawajua ila wengi wanafanya illegal activities huko south kuuza bangi,madawa
Samahani, kwani mwezi wa 6kunakuwa na nini? Samahani kwa usumbufu.mkuu usije uku sauzi baki home afadhali uje mwezi wa 6
Kaka uko mkoa gani. Plsnamimi nina mpango wa kuja kwanini mwezi wa sita??
Kaka uko mkoa gani. Plsnamimi nina mpango wa kuja kwanini mwezi wa sita??
yes. ukifika Harare ndo utapata bus hadi Joburg au mji wowote utakaotaka kuishi. Kuhusu kuhonga njiani sio pesa nyingi ila andaa kafungu kidogo kutoa pale tunduma upande wa Zambia na Chilundu. huko kwingine hakuna rushwa kama una a valid passport.Are you sure?
Hiko ndo nilichomaanisha, tupo pamojaMkuu Tz iko kwenye jumuhiya ya SADC, hautakiwi kupata visa ila tuu wanakupa miezi mitatu free bila permit co visa
Uanaume ni Kurisky maisha ilimradi malengo yatimie, so jamaa anafuata nature ya uanaume, Na huenda labda ameiona fursa flani iviIvi shida yote y nin... Maisha yako uko tu?
Hahahah kwanini mkuu?Ivi uyu akipata matatizo unadhani ntamuurumia!!!
Mzee sio kufa tu, watu wanavamiwa sana, wanaporwa sana, kuna njia mkipita mnaomba MunguWatu wanafia wapi?
Kama upo tayari kukabiliana na kilakitu, wewe kata tiketi uende, utayaona hukohukoUmesema kuna watu wanakufa, wanakufa kwa sababu zipi? Safari ndefu au?