Soulmate

Soulmate

Ha ha ha omg tell me the secret behind bhasi Mentor
 
Last edited by a moderator:
hahahahaaa Asprin bana, sasa nikuibeje? ila haitanoga ya kuchepuka inanoga ile orijinale yenyewe yenyewe, me soulmate, soulmate me.

Kama huwezi kuniiba basi nipe nafasi nijiibie kwako au nikuibe uwe soulmate wangu wa mchepuko wa lami.
 
Ntatia nini na sina cha kutia walai...hapo kwa soulmate hapajawahi nipata!

Mimi palishanipata, nataka nichomoke lakini nashindwa, soulmate ameset very high standards ambazo mbadala wake kumpata ni shughuli! Ila all in all kitaeleweka
 
Nawewe niibe niwe soulmate wako wa mchepuko.

haaaapa tu ndo!
biashara asbh!
nakupendea haaaaapa tu!
hulazagi damu kupoteza fursa!
hhahahahahha wallahi hujuagi tu unavoniwacha hoi na harakati zako!
 
Ukishampata wakili mzuri unambie. Mi ntajitetea mwenyewe na naamini ntakushinda. Jiandae kwa faini.

Ha ha ha ndo kauli mbiu zako
Wakili wa nn....
Faini ya aina gani.....cos mm ntakupoteza kama ndenge ya Malaysia wallah.ntakufungia kwenye kichupa
 
Ha ha ha ndo kauli mbiu zako
Wakili wa nn....
Faini ya aina gani.....cos mm ntakupoteza kama ndenge ya Malaysia wallah.ntakufungia kwenye kichupa
faini in kind.... İ don't prefer cash..

Mi wala sitishiki. Kwa taarifa yako hicho kichupa ntakununulia mimi mwenyewe.

Jiandae.
 
haaaapa tu ndo!
biashara asbh!
nakupendea haaaaapa tu!
hulazagi damu kupoteza fursa!
hhahahahahha wallahi hujuagi tu unavoniwacha hoi na harakati zako!

Mke wetu bhana... Tatizo hujui navofeligi kwenye hizi harakati.
Hii michuchu ya dot com inabana sana vitu iliyopewa bure. Asa mi na hawa mabinti wanaosoma, hela ya kuinunulia vitz ntaitoa wapi?

Ngoja nirudishe harakati kwa oldiez are goodiez...
 
mashikolo mageni hayaa..
hebu mtu akuje anifafanulie.
 
faini in kind.... İ don't prefer cash..

Mi wala sitishiki. Kwa taarifa yako hicho kichupa ntakununulia mimi mwenyewe.

Jiandae.

U know kesi za kuua vibabu zinaanz hivi hivi
Mbio za maradhoni unazo
 
Njoo uwe......

nakujaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...

So do İ, hakyamungu.

Babu usinzibie rizki...

Ha ha ha omg tell me the secret behind bhasi Mentor
ICHANA...goes way back in 2003..acha tu!

Mimi palishanipata, nataka nichomoke lakini nashindwa, soulmate ameset very high standards ambazo mbadala wake kumpata ni shughuli! Ila all in all kitaeleweka

Mh! as in inakuaje??! Unaachanaje na soulmate...please shade some light to me on this SERIOUSLY (yaani, utani pembeni)
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom