Sophia Simba hapa alikuwa anawadanganya wanawake..

Easymutant

R I P
Jun 3, 2010
2,564
1,129
Kila nikifikiria hii kauli ya huyu mbibi naona si tu alikuwa anawaingiza wanawake wengine kuwekewa nyumba ndogo zisizo na ulazima na waume zao bali alikuwa anawadanganya pia ....Wanawake wanyimeni unyumba waume zenu kama watawaunga mkono wapinzani: Sofia Simba.
swali la msingi sana JE YEYE ANAMUME?
 
Huyu mama alitia fora mwaka jana kwa kuwa waziri ktk serikali ya JK kila anapozungumza yeye ngono alikuwa anaipa kipaumbele lakini wala hata simshangai kwa kuwa watu wa kule kwao ngono inathaminiwa sana so bado hajabadilika kutokana na mafunzo aliyofundishwa na wazazi wake kule nyumbii mbombii
 
<span style="color:#ff0000;"><font size="4">SHIKA ADABU YAKO, NYUMBII BOMBII TUNA HESHIMA ZETU KAMA YEYE BI.MAPUA KAAMUA KUJIACHIA NI YEYE!</font></span>
 
hana ampate wapi? kwani wanaume unawaona ni wajinga sana, ni shangingi tu kila aombae hupata, so hana la kutuambia sisi wanandoa kwani ndoa haijui
 
Kila nikifikiria hii kauli ya huyu mbibi naona si tu alikuwa anawaingiza wanawake wengine kuwekewa nyumba ndogo zisizo na ulazima na waume zao bali alikuwa anawadanganya pia ....Wanawake wanyimeni unyumba waume zenu kama watawaunga mkono wapinzani: Sofia Simba. swali la msingi sana JE YEYE ANAMUME?
Labda sio mama yoyoo wangu!
 
kwa kweli huyu mama wakati mwingine huwezi kuamini ni msomi wa kiwango chake. Full micharuko mdomoni kama vile yuko kwenye rusha roho ama shoo za "laki si pesa na kitu T"
 
kwa kweli huyu mama wakati mwingine huwezi kuamini ni msomi wa kiwango chake. Full micharuko mdomoni kama vile yuko kwenye rusha roho ama shoo za "laki si pesa na kitu T"

hahahahaaaaaa .alikwaa uwaziri
ajili alimshangilia sana mkulu
inaelekea uswazi huku
yaani mtaani kwake
kila mara mshikemshike loool
 
Back
Top Bottom