Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,129
Kila nikifikiria hii kauli ya huyu mbibi naona si tu alikuwa anawaingiza wanawake wengine kuwekewa nyumba ndogo zisizo na ulazima na waume zao bali alikuwa anawadanganya pia ....Wanawake wanyimeni unyumba waume zenu kama watawaunga mkono wapinzani: Sofia Simba.
swali la msingi sana JE YEYE ANAMUME?
swali la msingi sana JE YEYE ANAMUME?