Sophia Simba, Anne Kilango nusura wazichape

Sophia Simba, Anne Kilango nusura wazichape

Dhambi ya kuwakilisha chama badala ya wananchi bungeni inawatafuna
 
..Haya mambo sijui ni nini... Maana Sophia Simba aliolewa na Kitwana Kondo .. Anne Kilango ameolewa na John Malecela .. mbona kama fikra na nyendo zao zinafanana fanana ..... wanagombania nini?
 
Nilishawahi kushuhudia sophia simba na shyrose wakitaka kupigana mara tu sophia simba alipomaliza kuhutubia alimfuata shyrose wakatoleana maneno kabla hawajashikana wakaamuliwa!hiyo ilikuwa chimwaga kwenye mkutano wao mbele ya waheshimiwa hiyo ilikuwa mwaka wa jana mwwishoni kipindi kile wakati wa chaguzi za chama!
 
UHASAMA wa kisiasa kati ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto, Sophia Simba na Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango, umevuka mipaka na sasa ni uadui wa wazi wazi. Hali hiyo ilidhihirika wiki iliyopita mjini Dodoma, wakati wawili hao walipokutana katika Benki ya CRDB iliyopo bungeni na badala ya kusalimiana, waliishia kutofautiana. Shuhuda wa tukio hilo, aliiambia MTANZANIA, kuwa tukio hilo lilitokea saa 6 mchana, baada ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuahirisha Bunge kutokana na vurugu zilizosababishwa na wabunge wa upinzani, wakati wa mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.


Shuhuda huyo alisema kuwa, kabla ya tukio hilo, Anne Kilango pamoja na wabunge wengine wa CCM, walikuwa ndani ya benki hiyo wakibadilishana mawazo.



Wakati wakiendelea kuzungumza, Sophia Simba aliingia ndani na kuanza kuwasalimia kila mmoja kama ilivyo kawaida.


"Sisi tulikuwa hapa ndani ya benki pamoja na Diana Chilolo (Mbunge wa Viti Maalum CCM), Turky, Mbunge wa Mpendae (Salim Abdallah Turky) pamoja na wahudumu wa benki.


"Sofia Simba alipofika, alitusalimia lakini Anne Kilango hakuitikia salamu yake na hapo Sofia akasema, mheshimiwa Anne Kilango nakusalimia.


"Aliposema hivyo tu, Anne Kilango akahamaki na kusema usinisalimie, mimi sitaki salamu yako. Kauli hiyo ilionekana kutushangaza na wakati tunashangaa, Sofia Simba akasema, mheshimiwa Anne Kilango mimi ni shoga yako na tumetoka mbali, kwa nini tusisalimiane?


"Aliposema hivyo, Anne Kilango akasema sitaki kusikia salamu yako, ‘shut up' kisha akaondoka," alisema shuhuda huyo akinukuu maneno ya Anne Kilango.


Alipotakiwa kuzungumzia suala hilo kwa njia ya simu, Simba alisema kwa kifupi, kwamba, "nina ngozi ngumu, sizungumzi mambo haya kwa sababu mimi ni kiongozi," alisema na kukata simu.


Naye, Anne Kilango alipoulizwa naye alisema yeye hawezi kuzungumzia masuala hayo, kisha akakata simu.



Chanzo - Mtanzania
Kilango amepoteza ladha ya kiongozi bora mpaka akapata nishani ya mwanamke shupavu, leo anakasirikia kunyimwa UWT inaonyesha jinsi asinyo mwenye kuhifadhi kifuani hata kama anaumia,
kiongozi mwema si lazima awe wa serikali hata bisho nikiongozi bora au WAMA, akitaka aanzishe asasi yakuwasaidia wanyonge na kuwa bold kama mwanzo aone kama hataungwa mkono, kung'ang'ania ukubwa wakati ww ni mkubwa tayari haina maana.
Asiyekubali kushindwa si mshindani ila anataka yeye awe hatakama hakuchaguliwa.
 
Huyu mama malecela huwa ana tabia za bar..nazani bado anaugulia kupgwa bao la kisgno na sophia simba kwenye uchaguzi wa uwt...ngumu kumesa ial mama mesa huyu kilango arudshe pesa za patel na membe walizomhonga za kampeni
 
Sumbawanga naona unatokwa pofu zile dola mlizokuwa mnagawa dodoma hazkuwasaidia lowasa aliwapga bao la ksgno bado 2015
 
UHASAMA wa kisiasa kati ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto, Sophia Simba na Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango, umevuka mipaka na sasa ni uadui wa wazi wazi. Hali hiyo ilidhihirika wiki iliyopita mjini Dodoma, wakati wawili hao walipokutana katika Benki ya CRDB iliyopo bungeni na badala ya kusalimiana, waliishia kutofautiana. Shuhuda wa tukio hilo, aliiambia MTANZANIA, kuwa tukio hilo lilitokea saa 6 mchana, baada ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuahirisha Bunge kutokana na vurugu zilizosababishwa na wabunge wa upinzani, wakati wa mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.


Shuhuda huyo alisema kuwa, kabla ya tukio hilo, Anne Kilango pamoja na wabunge wengine wa CCM, walikuwa ndani ya benki hiyo wakibadilishana mawazo.



Wakati wakiendelea kuzungumza, Sophia Simba aliingia ndani na kuanza kuwasalimia kila mmoja kama ilivyo kawaida.


“Sisi tulikuwa hapa ndani ya benki pamoja na Diana Chilolo (Mbunge wa Viti Maalum CCM), Turky, Mbunge wa Mpendae (Salim Abdallah Turky) pamoja na wahudumu wa benki.


“Sofia Simba alipofika, alitusalimia lakini Anne Kilango hakuitikia salamu yake na hapo Sofia akasema, mheshimiwa Anne Kilango nakusalimia.


“Aliposema hivyo tu, Anne Kilango akahamaki na kusema usinisalimie, mimi sitaki salamu yako. Kauli hiyo ilionekana kutushangaza na wakati tunashangaa, Sofia Simba akasema, mheshimiwa Anne Kilango mimi ni shoga yako na tumetoka mbali, kwa nini tusisalimiane?


“Aliposema hivyo, Anne Kilango akasema sitaki kusikia salamu yako, ‘shut up’ kisha akaondoka,” alisema shuhuda huyo akinukuu maneno ya Anne Kilango.


Alipotakiwa kuzungumzia suala hilo kwa njia ya simu, Simba alisema kwa kifupi, kwamba, “nina ngozi ngumu, sizungumzi mambo haya kwa sababu mimi ni kiongozi,” alisema na kukata simu.


Naye, Anne Kilango alipoulizwa naye alisema yeye hawezi kuzungumzia masuala hayo, kisha akakata simu.



Chanzo - Mtanzania
Sijaona Sehemu inayoonesha wawili Hao Kutaka Kuzichapa zaid ya Anne kuchunia Salamu ya Sophia.
Mtanzania ni Zaid ya Gazeti la Udaku
 
Vuvuzela huyu mama kilango malechela hana ukomavu wa kisiasa anakataa salamu
 
Anna Kilango ana frustration, Le Mutuz, Le Bahari, sauti ya simba... amerudi kulinda mali za mzee zisichukuliwe na opportunist shangingi la Mujini... Sasa naona mama kila akipiga hesabu hazikai vizuri, mwisho wa siku lazima adate...
 
Sijapata kuona mwanamke mwenye kiherehere na kidomodomo kama Kilango. Nadhani hata mzee wetu atakuwa ananyanyasika.

Le Mutuz angekuwa bado school boy angekiona cha mtema kuni. Huyu ni aina ile ya mama wa kambo haswa.
 
duu!hao akina mama waheshimiwa watafikishana pabaya inabidi wakubwa wa chama chao wajitokeze kuwapatanisha ili yasijekujitokeza makubwa zaidi hapo baadae.
 
UHASAMA wa kisiasa kati ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto, Sophia Simba na Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango, umevuka mipaka na sasa ni uadui wa wazi wazi. Hali hiyo ilidhihirika wiki iliyopita mjini Dodoma, wakati wawili hao walipokutana katika Benki ya CRDB iliyopo bungeni na badala ya kusalimiana, waliishia kutofautiana. Shuhuda wa tukio hilo, aliiambia MTANZANIA, kuwa tukio hilo lilitokea saa 6 mchana, baada ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuahirisha Bunge kutokana na vurugu zilizosababishwa na wabunge wa upinzani, wakati wa mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.


Shuhuda huyo alisema kuwa, kabla ya tukio hilo, Anne Kilango pamoja na wabunge wengine wa CCM, walikuwa ndani ya benki hiyo wakibadilishana mawazo.



Wakati wakiendelea kuzungumza, Sophia Simba aliingia ndani na kuanza kuwasalimia kila mmoja kama ilivyo kawaida.


“Sisi tulikuwa hapa ndani ya benki pamoja na Diana Chilolo (Mbunge wa Viti Maalum CCM), Turky, Mbunge wa Mpendae (Salim Abdallah Turky) pamoja na wahudumu wa benki.


“Sofia Simba alipofika, alitusalimia lakini Anne Kilango hakuitikia salamu yake na hapo Sofia akasema, mheshimiwa Anne Kilango nakusalimia.


“Aliposema hivyo tu, Anne Kilango akahamaki na kusema usinisalimie, mimi sitaki salamu yako. Kauli hiyo ilionekana kutushangaza na wakati tunashangaa, Sofia Simba akasema, mheshimiwa Anne Kilango mimi ni shoga yako na tumetoka mbali, kwa nini tusisalimiane?


“Aliposema hivyo, Anne Kilango akasema sitaki kusikia salamu yako, ‘shut up’ kisha akaondoka,” alisema shuhuda huyo akinukuu maneno ya Anne Kilango.


Alipotakiwa kuzungumzia suala hilo kwa njia ya simu, Simba alisema kwa kifupi, kwamba, “nina ngozi ngumu, sizungumzi mambo haya kwa sababu mimi ni kiongozi,” alisema na kukata simu.


Naye, Anne Kilango alipoulizwa naye alisema yeye hawezi kuzungumzia masuala hayo, kisha akakata simu.



Chanzo - Mtanzania

Huwa mimi nawaambia kila kukicha.. hawa wabunge wetu wanawake, japo wengine wamezeekea na wanafaa kuitwa mabibi, lakini hawana adabu hata kidogo, kwanza wanatabia ya kuchukuliana wanaume tena hapohapo bungeni.... Sophia Simba alikula uroda na jamaa anayechukuliwa na Anne Kilango... sasa nyie mnajua pale bunge zima UKIMWI ni aslimia 68% kati ya wabunge woteee... kila mtu ni lazima achukie kwakuwa hali hiyo ya magonjwa imesambaa bunge zima....... MUNGU WAREHEMU WABUNGE WETU HAWA WALAFI WA MAPENZI NA WENGINE WANANDOA ZAO!
 
..Haya mambo sijui ni nini... Maana Sophia Simba aliolewa na Kitwana Kondo .. Anne Kilango ameolewa na John Malecela .. mbona kama fikra na nyendo zao zinafanana fanana ..... wanagombania nini?


Kitwana Kondo mwan-juwa?
Aaaaaeeeee twan-juwa
 
Back
Top Bottom