Wangepasuana tuone gagulu za waheshimiwa zinatofauti gani na wapiga kura.
Huyu Kilango wala haitii CCM aibu kwa kuwa hakupigana kule mjengoni. Huyu mama kama hana habari ni kwamba anamtia mume wake aibu. Inaonekana huyu mzee hawezi kumdhibiti huyu mama ndiyo maana amekaa kishari shari. Hata anapochangia bungeni all the time ni lazima agombe. Inawezekana ana stress. Anahitaji ushauri na unasihi. Amekosa u-first lady. Lile kundi la mitume 12 lilisambaratika. Kama haitoshi kakosa uongozi wa UWT. What do you expect? Stress. Nadhani Mirembe hospitali itasaidia zaidi.Angalau wanawake hawa wameonyesha ukomavu kuzidi wanaume wa kiswahili! Sasa ili kulinda heshima ya nchi, naombaai mama Makinda atafute muda wake binafsi awapatanishe ili washiiriki kwa moyo mmoja katika mazoezi yakupulizia oksijeni chama chao ambacho kiko ICU. Na ukiona hivi ujue hakuna tena maadili ndani ya ccm.
When you are Food of the Giants any thing can be possible for you!
Sumbawanga naona unatokwa pofu zile dola mlizokuwa mnagawa dodoma hazkuwasaidia lowasa aliwapga bao la ksgno bado 2015
Angalau wanawake hawa wameonyesha ukomavu kuzidi wanaume wa kiswahili! Sasa ili kulinda heshima ya nchi, naombaai mama Makinda atafute muda wake binafsi awapatanishe ili washiiriki kwa moyo mmoja katika mazoezi yakupulizia oksijeni chama chao ambacho kiko ICU. Na ukiona hivi ujue hakuna tena maadili ndani ya ccm.
UHASAMA wa kisiasa kati ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto, Sophia Simba na Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango, umevuka mipaka na sasa ni uadui wa wazi wazi. Hali hiyo ilidhihirika wiki iliyopita mjini Dodoma, wakati wawili hao walipokutana katika Benki ya CRDB iliyopo bungeni na badala ya kusalimiana, waliishia kutofautiana. Shuhuda wa tukio hilo, aliiambia MTANZANIA, kuwa tukio hilo lilitokea saa 6 mchana, baada ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuahirisha Bunge kutokana na vurugu zilizosababishwa na wabunge wa upinzani, wakati wa mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Shuhuda huyo alisema kuwa, kabla ya tukio hilo, Anne Kilango pamoja na wabunge wengine wa CCM, walikuwa ndani ya benki hiyo wakibadilishana mawazo.
Wakati wakiendelea kuzungumza, Sophia Simba aliingia ndani na kuanza kuwasalimia kila mmoja kama ilivyo kawaida.
Sisi tulikuwa hapa ndani ya benki pamoja na Diana Chilolo (Mbunge wa Viti Maalum CCM), Turky, Mbunge wa Mpendae (Salim Abdallah Turky) pamoja na wahudumu wa benki.
Sofia Simba alipofika, alitusalimia lakini Anne Kilango hakuitikia salamu yake na hapo Sofia akasema, mheshimiwa Anne Kilango nakusalimia.
Aliposema hivyo tu, Anne Kilango akahamaki na kusema usinisalimie, mimi sitaki salamu yako. Kauli hiyo ilionekana kutushangaza na wakati tunashangaa, Sofia Simba akasema, mheshimiwa Anne Kilango mimi ni shoga yako na tumetoka mbali, kwa nini tusisalimiane?
Aliposema hivyo, Anne Kilango akasema sitaki kusikia salamu yako, shut up kisha akaondoka, alisema shuhuda huyo akinukuu maneno ya Anne Kilango.
Alipotakiwa kuzungumzia suala hilo kwa njia ya simu, Simba alisema kwa kifupi, kwamba, nina ngozi ngumu, sizungumzi mambo haya kwa sababu mimi ni kiongozi, alisema na kukata simu.
Naye, Anne Kilango alipoulizwa naye alisema yeye hawezi kuzungumzia masuala hayo, kisha akakata simu.
Chanzo - Mtanzania
Mtanzania ni gazeti la udaku
cc: ZeMarcopolo
Huwa mimi nawaambia kila kukicha.. hawa wabunge wetu wanawake, japo wengine wamezeekea na wanafaa kuitwa mabibi, lakini hawana adabu hata kidogo, kwanza wanatabia ya kuchukuliana wanaume tena hapohapo bungeni.... Sophia Simba alikula uroda na jamaa anayechukuliwa na Anne Kilango... sasa nyie mnajua pale bunge zima UKIMWI ni aslimia 68% kati ya wabunge woteee... kila mtu ni lazima achukie kwakuwa hali hiyo ya magonjwa imesambaa bunge zima....... MUNGU WAREHEMU WABUNGE WETU HAWA WALAFI WA MAPENZI NA WENGINE WANANDOA ZAO!
Huyu Kilango wala haitii CCM aibu kwa kuwa hakupigana kule mjengoni. Huyu mama kama hana habari ni kwamba anamtia mume wake aibu. Inaonekana huyu mzee hawezi kumdhibiti huyu mama ndiyo maana amekaa kishari shari. Hata anapochangia bungeni all the time ni lazima agombe. Inawezekana ana stress. Anahitaji ushauri na unasihi. Amekosa u-first lady. Lile kundi la mitume 12 lilisambaratika. Kama haitoshi kakosa uongozi wa UWT. What do you expect? Stress. Nadhani Mirembe hospitali itasaidia zaidi.
Anna Kilango ni kama mwanamke wa mnanda... she is surrounded by stupid drama na kugombana na watu
ana A ya kupayuka
unamuonea, ungesikia matusi ya kizaramo aliyotukanwa wa kati wa uchaguzi wao. Ndio ingeelewa
Huyu Kilango wala haitii CCM aibu kwa kuwa hakupigana kule mjengoni. Huyu mama kama hana habari ni kwamba anamtia mume wake aibu. Inaonekana huyu mzee hawezi kumdhibiti huyu mama ndiyo maana amekaa kishari shari. Hata anapochangia bungeni all the time ni lazima agombe. Inawezekana ana stress. Anahitaji ushauri na unasihi. Amekosa u-first lady. Lile kundi la mitume 12 lilisambaratika. Kama haitoshi kakosa uongozi wa UWT. What do you expect? Stress. Nadhani Mirembe hospitali itasaidia zaidi.
This leaves a lot to be desired!
Makinda herself is a very big disaster, what can she do?