Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Asante babu DC, haya mambo ya hisia bila jua ukweli mi wala huwa hayaniingii.
Kuna mwingine mtu alisafiri wiki bila kuaga akadhani ni alshabab kumbe wala hata sio ila kuna coincidence ziliingiliana hapo akajua alshaba kabsa
Kama ulivyosema huko nyuma,
Paranoia ni sumu sana katika haya mambo ya MMU!! Mtu anaweza kunywa sumu wakati hakuna hata chembe ya ukweli!!
Kuna dada alibugia kopo la klorokwini kisa mume wake kasalimiana na secretary wa kazini wako....She died on the spot na jamaa sasa hivi anadunda!!