Sony xperia z

Sony xperia z

Kifuniko

Member
Joined
May 20, 2011
Posts
97
Reaction score
18
Wadau kuna mtu anaetumia hii product nimeipenda ila sina uzoefu kama ina matatizo gani, nijuzeni ili niamue
 
kuna mtu kaniambia battery haikai na charge ni kweli Lisa?
 
kuna mtu kaniambia battery haikai na charge ni kweli Lisa?

Inategemea na matumizi yako....wewe huwezi kupiga picha siku nzima au kusikiliza music siku nzima halafu ukategemea betri ikae na chaji mda mrefu.
 
kuna mtu kaniambia battery haikai na charge ni kweli Lisa?

Kweli mkuu hii simu ni nzuri sana, ila haikai na charge, battery yake inaisha haraka zaidi ukicompare na simu nyingine za mwaka huu kama htc one na galaxy s4. Hata ukipitia reviews na comments mbalimbali za watumiaji, tatizo la hii simu ni charge
 
kuna mtu kaniambia battery haikai na charge ni kweli Lisa?

Naitumia sony xperia nachaji daily battery zake sio kivile ka android nyingine ila iko poa sana uploadfromtaptalk1372609092777.jpg
 
asa hlo co tatzo la xperia 2,mbn smartphone nyng znaisha chaji fasta?mfano samsung galaxy almsot zote zna matatizo hayo.Kwa hizi cm mpya za tecno wamejitahd katka betri!!
 
Mimi natumia Sony Xperia E15i, tatizo network browser inanizingua haikubali connection lbd youtube na facebook. Sijui kuhusu Whatsup.
 
xperia z tayari ina system update tatu. unainunua ikiwa kwenye android 4.1 jb. ukiiweka kwenye latest 4.2 jelly bean tatizo la betri litapungua. pia nenda kwenye settings na click stamina mode
 
Back
Top Bottom