The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 8,011
- 11,429
Ngoja niitafuteBora ugoogle tu.
Nashangaa watu wengi hawaifahamu.
Ngoja niitafuteBora ugoogle tu.
Nashangaa watu wengi hawaifahamu.
Hahahaha hawa wameanza kuzijua home theatre hivi majuzi tu.Yani mpenzi wa mziki mnene anaachaje kuujua huu mziki?! Atakuwa ayupo serious...DAV650 atabaki kuwa juu!
Kwa kweli. Hilo dundo linaweza kukufanya kuinjoy hata matangazo ya vifo!Hahahaha hawa wameanza kuzijua home theatre hivi majuzi tu.
Yeah ni kweli mkuu, Home Theatre nazozijua zote zinaishia 1200Watts, na ikizidi hapo unakuta ni Hi-Fi system ambayo nayo ni P.M.P.O Watts.Ikizidi watts lazima ionekane bora maana kishindo chake kitakuwa zaidi ila hamna hometheatre ya 2000watts so far! Kati ya hizo brand mbili..sahivi ndio kwanza wanatoa za 1200watts!
Ahaha mkuu mm jina ndy nalijua leo hlf kama mm nimejua home-theatre 2016.... nime-google nimeuona...sema sijawa ona mtu anao huu na umr wote huu. Huu mziki nimechek bei zake kwa dola..hakuna ambao ni hata wa laki 8 za kitzYani mpenzi wa mziki mnene anaachaje kuujua huu mziki?! Atakuwa ayupo serious...DAV650 atabaki kuwa juu!
Hii ni Hi-Fi system mzee baba. Halafu ni old school ngumu kuipata shop kwa sasa ila kwa wapemba Ilala wanazo. Zinatoka zenji mitumba na haifiki hio laki 8!Ahaha mkuu mm jina ndy nalijua leo hlf kama mm nimejua home-theatre 2016.... nime-google nimeuona...sema sijawa ona mtu anao huu na umr wote huu. Huu mziki nimechek bei zake kwa dola..hakuna ambao ni hata wa laki 8 za kitzView attachment 1063390View attachment 1063391View attachment 1063392
Hii kitu natamani sana niisikie mdundo wake! Ila bado sijafanikiwa kukutana nayo hata shop!View attachment 1063395
Vijana mtafute mtu mwenye hili ..au nenda hata kwa Authorized dealer akuonjeshe tu kitokacho humo ndani.
Inaitwaje mkuu nataka nibadlishe ladha ya sonyView attachment 1063395
Vijana mtafute mtu mwenye hili ..au nenda hata kwa Authorized dealer akuonjeshe tu kitokacho humo ndani.
New model sijafanikiwa kuiona mkuu...inabd nifatlie kwa kina niijueHii ni Hi-Fi system mzee baba. Halafu ni old school ngumu kuipata shop kwa sasa ila kwa wapemba Ilala wanazo. Zinatoka zenji mitumba na haifiki hio laki 8!
Sony HTM77 7.2ch Muteki Home Theater SystemInaitwaje mkuu nataka nibadlishe ladha ya sony
Mkuu new model mbn siipat...naomba link au picha tafadhlHii ni Hi-Fi system mzee baba. Halafu ni old school ngumu kuipata shop kwa sasa ila kwa wapemba Ilala wanazo. Zinatoka zenji mitumba na haifiki hio laki 8!
Hi-fi music system ndio ndoto sitaki radio yeyote kwa sasa mpaka nisafiri au nipate mtu anajua mziki na anae aminika CHIEF MKWAWA nadhani Alisha elezea hapa hi-fi ndio baba yao baada ya home theater.Hii ni Hi-Fi system mzee baba. Halafu ni old school ngumu kuipata shop kwa sasa ila kwa wapemba Ilala wanazo. Zinatoka zenji mitumba na haifiki hio laki 8!
2450W Pilika za hilo dude hapana kabisa.Hii kitu natamani sana niisikie mdundo wake! Ila bado sijafanikiwa kukutana nayo hata shop!
Mkuu hizo sijawah ziona live, nimechk youtube. Bongo hizo hakuna huku labda mtu anunue kwa ebay
Kaaah zigo lote hili geto la nini na hata mvuto halina. Halafu unakuta hapa umeme balaa.Ahaha mkuu mm jina ndy nalijua leo hlf kama mm nimejua home-theatre 2016.... nime-google nimeuona...sema sijawa ona mtu anao huu na umr wote huu. Huu mziki nimechek bei zake kwa dola..hakuna ambao ni hata wa laki 8 za kitzView attachment 1063390View attachment 1063391View attachment 1063392
View attachment 1063395
Vijana mtafute mtu mwenye hili ..au nenda hata kwa Authorized dealer akuonjeshe tu kitokacho humo ndani.
Ahaha!! Shida tz hazipo tungenunuaSasa mtu anafananishaje kitu ambacho hata kutumia hajawahi? Yaani ufananishe yamaha na upuuzi mwingine huko.
Mti wenye matunda.
Iko freshi sana, inapiga sound kali!Sony DAV -DZ950 ndo naitumia naona Performance yake nzuri