Zipo kwa deal mfano pale mliman city ipo. Arusha kwa benson zipo tena pale kuna home theatre zote na wao watakuambia kwenye hiz ya budget yaan chini ya 1.5m milion kushuka chini ni hii ya panasonic sony zote chal sio lg wala samsung. Kwanza bass yake kubwa. Pili surrounding zake kila moja ina spika mbili mbil tofaut na hiz za dav ambazo kila moja inaspika moja moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema kuzipata sasa
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Sent using Jamii Forums mobile app


