lellobazcci Member Joined Jun 12, 2015 Posts 52 Reaction score 3 Jun 18, 2015 #1 Simu tajwa apo juu inauzwa ni mpya na accersor zake kwa 580K ... Chek me #0718033066 Attachments 1434631700944.jpg 22.6 KB · Views: 149
G gambagumu JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 2,341 Reaction score 3,166 Jun 18, 2015 #2 Mbona.hiyo ni bei.ya dukani mkuu
Bally B Senior Member Joined Jul 11, 2010 Posts 142 Reaction score 17 Jun 18, 2015 #3 tena ni zaidi ya dukani
Rene Jr. JF-Expert Member Joined Jan 31, 2014 Posts 3,731 Reaction score 2,397 Jun 18, 2015 #4 Bally B said: tena ni zaidi ya dukani Click to expand... Kwani dukani ni shngapi vile?
lellobazcci Member Joined Jun 12, 2015 Posts 52 Reaction score 3 Jun 18, 2015 Thread starter #5 gambagumu Bally B bei ni maelewano pia sasa dola imepanda.. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 18,692 Reaction score 24,735 Jun 18, 2015 #6 Shusha bei iyo
rasomaka Senior Member Joined Dec 26, 2013 Posts 115 Reaction score 139 Jun 18, 2015 #7 Mkuu kama inakulipa nikupe 420,000 leo... Sio kwamba sijakubali bei yako, nasema kilichopo mfukoni