Songwe: Mwananchi aweka msiba wa Magufuli nyumbani kwake

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,010
9,875
Mkazi wa Migombani, Halmashauri ya Tunduma Mkoani Songwe, Roda Mwanisongole ameweka msiba nyumbani kwake kuomboleza kifo cha Rais Magufuli ambaye anazikwa, leo Machi 26

Roda ni mama wa Brian Mollel ambaye alifariki mwaka 2020 kutokana na vurugu za Uchaguzi Mkuu ambazo zilitokea Tunduma

Roda amesema, Magufuli alimtembelea kipindi kile alichofiwa na kumfariji kwa kumpoteza mwanaye na sasa anaona namna ya kumkumbuka ni kuweka msiba nyumbani kwake

Mwili wa Hayati Dkt. Magufuli atazikwa Saa 9 Alasiri, Machi 26

 
Ni sawa, huu ni msiba wa Taifa unatuhusu wote.

Tuomboleze sote tulioumizwa na kuhuzunishwa na msiba huu mkuu.

Upumzike kwa amani mzalendo no 1, JPM

Tutakukumbuka daima Mwamba!
 
Kwa sisi wachaga msiba lazima tunywe bia..na tuchinje mbuzi..sasa nikifanyia hivyo nyumbani kwangu itakuaje
 
Waliofanya msiba kwa namna ya sherehe kutokana na mila na tamaduni zao walikamatwa na kuwekwa mahabusu.,
Kwenye izo sherehe kulikua na kauli,maneno machafu vimeashiria ni sherehe ya dhihaka na kumkejeli hayati,ndo maana wamepata chamoto.
 
Mkazi wa Migombani, Halmashauri ya Tunduma Mkoani Songwe, Roda Mwanisongole ameweka msiba nyumbani kwake kuomboleza kifo cha Rais Magufuli ambaye anazikwa, leo Machi 26

Roda ni mama wa Brian Mollel ambaye alifariki mwaka 2020 kutokana na vurugu za Uchaguzi Mkuu ambazo zilitokea Tunduma

Roda amesema, Magufuli alimtembelea kipindi kile alichofiwa na kumfariji kwa kumpoteza mwanaye na sasa anaona namna ya kumkumbuka ni kuweka msiba nyumbani kwake

Mwili wa Hayati Dkt. Magufuli atazikwa Saa 9 Alasiri, Machi 26

uyo mama apewe ulinzi mkali sana
 
Mkazi wa Migombani, Halmashauri ya Tunduma Mkoani Songwe, Roda Mwanisongole ameweka msiba nyumbani kwake kuomboleza kifo cha Rais Magufuli ambaye anazikwa, leo Machi 26

Roda ni mama wa Brian Mollel ambaye alifariki mwaka 2020 kutokana na vurugu za Uchaguzi Mkuu ambazo zilitokea Tunduma

Roda amesema, Magufuli alimtembelea kipindi kile alichofiwa na kumfariji kwa kumpoteza mwanaye na sasa anaona namna ya kumkumbuka ni kuweka msiba nyumbani kwake

Mwili wa Hayati Dkt. Magufuli atazikwa Saa 9 Alasiri, Machi 26

Ajiandae kupata msiba wa kweli ili jeneza likae hapo kwake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom