Boniface Evarist
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 1,147
- 512
Huo uwanja ungekuwa mbali sn lakn tatzo ni hila chafu za Jagi Kubwa ambaye analete siasa za kikanda na ukwel ni kwamba bila Uwazi na ukweli kuuanza uwanja 2ngekuwa ha2na hata ndoto! Nadhan JK anataman kuchelewesha maendeleo ya wana Mbeya kwa miaka 10 yake. Yeye ni wa Mwanza kwa totoz na Arusha.Usiombe ajaye arithishwe na haka kajamaa!