Mkuu mbona kwetu kigoma mwisho wa reli, hamtaji? mara zote mumekuwa mkitusahau. Jamani nasi ni wadanganyika, ah, kumradhi watanzania.Ingekuwa hivyo tayari kungekuwa na barabara na viwanja vya ndege. Kuna maeneo yanasemekana kuwa economically viable lakini sio, na kuna maeneo ni economically viable lakini yanapuuzwa, kuna maeneo ambayo sio economically viable lakini yanapewa umuhimu mkubwa kutokana na sababu za kisiasa na kidini.
It is a fact that given their geagraphical locations Mwanza, Mbeya, Arusha na Mtwara zinatakiwa kupewa msukumo zaidi wa kimaendeleo ili zichangie zaidi maendeleo ya Tanzania, ni uzembe tu katika mipango na utekelezaji.
Arusha haihitaji uwanja mwingine ukiangalia CBA haiwezi support uwanja mwingine mkubwa at that proximity! Tuache ubinafsi kinachotakiwa uwo wa Kilimanjaro kama haukidhi mahitaji upanuliwe kwisha kazi! Mwanza nathani kama watu wanavyosema una runway nzuri kilichobaki ni kuweka facilities muhimu kama passengers lounges, terminals na maintanance facilities Kwishnei! Hivi hamjiulizi kwanini the whole of Texas (size of Tanzania) has only 3 international airports? and yet the country US is damn rich! the answer is they look at feasibility and they advocate fewer but massive with capacities!Ingekuwa hivyo tayari kungekuwa na barabara na viwanja vya ndege. Kuna maeneo yanasemekana kuwa economically viable lakini sio, na kuna maeneo ni economically viable lakini yanapuuzwa, kuna maeneo ambayo sio economically viable lakini yanapewa umuhimu mkubwa kutokana na sababu za kisiasa na kidini. It is fact that given their geagraphical locations Mwanza, Mbeya, Arusha na Mtwara zinatakiwa kupewa msukumo zaidi wa kimaendeleo ili zichangie zaidi maendeleo ya Tanzania, ni uzembe tu katika mipango na utekelezaji.
Muulizaji na wachangiaji wake mnajaribu kutuonesha jinsi mlivyo wabinafsi. Mbona yako maeneo economically viable lakini hayana barabara ambayo ni muhimu kwa uchumi kuliko hata huo uwanja wa ndege?
Arusha haihitaji uwanja mwingine ukiangalia CBA haiwezi support uwanja mwingine mkubwa at that proximity! Tuache ubinafsi kinachotakiwa uwo wa Kilimanjaro kama haukidhi mahitaji upanuliwa kwisha kazi! Mwanza nathani kama watu wanavyosema una runway nzuri kilichobaki ni kuweka facilities muhimu kama passengers lounges, terminals na maintanance facilities Kwishnei! Hivi hamjiulizi kwanini the whole of Texas (size of Tanzania) has only 3 international airports? and yet the country US is damn rich! the answer is they look at feasibility and they advocate fewer but massive with capacities!
There are many international airports in Texas. These are the Rick Husband Amarillo International Airport, the Austin-Bergstrom International Airport, Brownsville/South Padre Island International Airport, the Corpus Christi International Airport, the Dallas-Fort Worth International Airport, the El Paso International Airport, the Valley International Airport, the Laredo International Airport, the Lubbock Preston Smith International Airport, the McAllen-Miller International Airport, the Midland International Airport and the San Antonio International Airport.
Uwanja wa mwanza sio serikali iliyokuwa ya kwanza kuonyesha initive za kuuendeleza. Ni UN na taasisi zake baada ya makashe ya DRC na Rwanda.
Hata huo usanii waliofanya ni mfadhili ndo alikuwa wa kwanza kuona umuhimu na kupendekeza. Ndo maana nasema Serikali yetu haina priority in place. Inakwenda kwenda tu.
Ni vizuri kila sehemu kukawa na kiwanja tena cha kimataifa lakini inabidi twende hatua kwa hatua. Wakati TAZARA na mindombinu yake inazidi kuchoka wanashupalia anga. haya Kwa ndege za shirika gani hizo zitatua songwe? Mizigo tani ngapi ya hayo mazao itasafirishwa kupitia huo uwanja.? Wananchi% ngapi wana uwezo wa gharama za kupaa.
Next Bagamoyo nayo itakuwa bandari ya kimataifa. Hawa hawa wanaoshangilia Songwe kuwa na internationa Airport watakuja kuponda . Kwa nini iswe mtwara au Tanga?????
Nawashauri Great thinkers tuwe tunafanya unbiased analysis kabla ya kukubaliana au kupinga kitu fulani.
Kwa hii ya songwe ni purely politics
Kwani nini wameutelekeza uwanja wa ndege wa mwanza? Uwanja wa ndege wa mwanza ungetumika kama hub ya EAC. nchi kama Uganda, rwanda na burundi
Mkuu, uwanja wa ndege wa Mwanza haujatelekezwa, kilichokosekana pale ni jengo labda na rada ya Chenge but the runway is perferct na any flying object with an exception of A380 inaweza kutua pale. I do not think kukosekana kwa jengo zuri la airport kunazuia Mwanza kuwa hub ya EAC.
Sibishi Kuwa hata Songwe pia inahitajika lakini serikali etu haifanyi miradi yake kwa.Priority Nakumbuka waziri wa mawasiliano na uchukuzi wakati huo akiwa ni mwenyeji wa mbeya ndo alianzisha move hii.
Mkuu hiyo si kweli, fanya fact checking unbiasely, plan ya uwanja huo ilikuwepo toka miaka ya themanini. Alichofanya Mwandosya ni utekelezaji. Kwa mfano unafahamu kwamba plan ya Taifa ilikuwa ni kukifanya chuo cha ufundi Mbeya kuwa chuo kikuu cha ufundi Tanzania na hiyo ipo kwenye makabrasha ya serikali mpaka sasa. Lakini nini kinaendelea UDOM imekuwa first priority kuliko hata our mighty UDSM.
Bungeni akatangaza kuwa Songwe ni Uwanja wa kimataifa. akabanwa na mbunge 1ja kuhusu uwanja wa mwanza hapo hapo akasema na wenyewe ameupa hadhi ya kimataifa. (Kwenye post yangu hapo juu nimeeleza nini hasa maana ya International airport) Na sidhani hata hiyo hoja yako kama ni kweli kwa sababu at thiat time kuna discussion ya Uwanja wa Songwe Mwanza ilikuwa tayari ni international airport siku nyingi kwa maana kwamba ilikuwa na customs, immigration, na pia ndege kutoka nje ya nchi na kwenda nchi zingine zilikuwa zinaoperate pale. Au labda mzee unafikiri ili iwe International airport lazima BA, Lufthansa, Swiss, Delta zitue pale?
Teh teh unaweza kuona nchii hii inapelekwa kisiasa siasa. Pili hizi project za Anga zingekuwa minimised badala yake mapesa hayo yangetumika ku boost ufanisi kwenye project za TAZARA na TRL
Can you please substantiate, well kwa mfano project ya Songwe nni Tshs 60 Billioni - Je fedha hizi unaweza kuzifanyia nini kwenye TAZARA au TRL kuleta ufanisi, kumbuka mwaka jana serikali iliipa TRL bilioni 20 lakini zilitumika kama mishahara na allowances.
Uwanja wa mwanza sio serikali iliyokuwa ya kwanza kuonyesha initive za kuuendeleza. Ni UN na taasisi zake baada ya makashe ya DRC na Rwanda.
Hata huo usanii waliofanya ni mfadhili ndo alikuwa wa kwanza kuona umuhimu na kupendekeza. Ndo maana nasema Serikali yetu haina priority in place. Inakwenda kwenda tu.
Ni vizuri kila sehemu kukawa na kiwanja tena cha kimataifa (This is not true - Please refer to the meaning of an international airport) lakini inabidi twende hatua kwa hatua. Wakati TAZARA na mindombinu yake inazidi kuchoka wanashupalia anga. haya Kwa ndege za shirika gani hizo zitatua songwe? (Kwani ni ndege za shirika gani zinatua KIA, DAR na Mwanza?)
Mizigo tani ngapi ya hayo mazao itasafirishwa kupitia huo uwanja.? (Tani mamilioni)
Wananchi% ngapi wana uwezo wa gharama za kupaa. (Hii sasa ni kichekesho na ni fikra za kijamaa. Kwa kifupi hata kule Mwanza 90% ya abiria ni wale wanaolipiwa na makampuni yao without forking out a single penny from their pockets. Hivyo basi na Songwe itakuwa hivyo hivyo. By the way unafahamu ni idadi ngapi ya watu wanadrive kila siku kwenda na kurudi Nyanda za juu kusini)
Next Bagamoyo nayo itakuwa bandari ya kimataifa. (Hii ndiyo nini tena?) Hawa hawa wanaoshangilia Songwe kuwa na internationa Airport watakuja kuponda . Kwa nini iswe mtwara au Tanga?????
Nawashauri Great thinkers tuwe tunafanya unbiased analysis kabla ya kukubaliana au kupinga kitu fulani. (That is absolutely true as it is true to research on the facts before concluding, facts differ from opinions)
Kwa hii ya songwe ni purely politics (Ok so this is your conclusion? - Sasa mbona unajishangaa mwenyewe can you read between lines what you have written above?)
nyie siyo watanzania ni wa kongoman!!!Mkuu mbona kwetu kigoma mwisho wa reli, hamtaji? mara zote mumekuwa mkitusahau. Jamani nasi ni wadanganyika, ah, kumradhi watanzania.
[B]:becky::becky::becky:mweee mweee mweeeeeeee....! mbombongafu :becky::becky::becky:
[/B]