msemakweli tza
Senior Member
- Sep 25, 2014
- 177
- 10
wasira ni chaguo la wa tanzania tunaimani nae October ,2015
wasira ni gari kubwa
labda chaguo la ukoo wenu siyo watanzania.wasira ni chaguo la wa tanzania tunaimani nae October ,2015
wasira ni chaguo la wa tanzania tunaimani nae October ,2015
Hii ni hoja au just a statement from Wassira himself..?
Hivi Wasira anajua kutumia computer?
vipi asha kuangushia uzito nini?wasira ni heavy duty
Ukiwa ccm uadilifu, uwajibikaji, uchapa kazi vinayeyushwa. Kwa hali hiyo, hata malaika akijiunga na ccm baada ya mwaka atakuwa shetani mtenda maovu! CCM ni mtambo wa kisasa wa kuzalisha mafisadi na wala/watoa rushwa.Kuna mengi nimejifunza kuhusu huyu Mzee...Uwajibikaji,uadilifu na ujenzi wa hoja.
Uadilifu ni kigezo kinachowasumbua viongozi wengi,ndani ya huyu Mzee Uadilifu ni ngao yake.Tuna imani naye kuelekea 2015
labda rais wa TANAPA
Enyi wakazi wa Gombe mpigieni kura mwenzenu! Au hamuhitaji Rais!?Katika jambo la kuonesha mh Wasira ni chagua la wananchi wa Tanzania,hapa songea alilakiwa na watu wote kwa shangwe huku wengine wakiwa wanalitaja lile jina lake la utami.
Wakati huo huo Mh Wasira alionekana akikataa kupita juu ya Red kapeti kama wengine walivyo fanya kwani YEYE MH WASIRA anaijua vizuri ITIFAKI.
JITAZAMIE PICHA KWANI INASEMA ZAIDI.
View attachment 223852View attachment 223853
Katika jambo la kuonesha mh Wasira ni chagua la wananchi wa Tanzania,hapa songea alilakiwa na watu wote kwa shangwe huku wengine wakiwa wanalitaja lile jina lake la utami.
Wakati huo huo Mh Wasira alionekana akikataa kupita juu ya Red kapeti kama wengine walivyo fanya kwani YEYE MH WASIRA anaijua vizuri ITIFAKI.
JITAZAMIE PICHA KWANI INASEMA ZAIDI.
View attachment 223852View attachment 223853
Kulikuwa na watu wangapi waliomlaki, maana kama ni 1/8 ya watu waliomlaki then unasema watanzania wengi, utakuwa na matatizo ya akili. Bora useme Nape kampokea na sio watanzania. Nape ni mtanzania but watanzania sio Nape.Katika jambo la kuonesha mh Wasira ni chagua la wananchi wa Tanzania,hapa songea alilakiwa na watu wote kwa shangwe huku wengine wakiwa wanalitaja lile jina lake la utami.Wakati huo huo Mh Wasira alionekana akikataa kupita juu ya Red kapeti kama wengine walivyo fanya kwani YEYE MH WASIRA anaijua vizuri ITIFAKI.JITAZAMIE PICHA KWANI INASEMA ZAIDI.View attachment 223852View attachment 223853
Naomba hoja ijadiliwe sio vijoja.......