Songea to Mwanza: Mwamba katoa chuma na kaanzisha hii route

Haitakaa itokee . Kutokana na sheria za Tanroad.
Mabasi ya maliwato ndani huwa yanakuwa marefu by default, sheria za tan road haziruhusu urefu huo , faini ukikutwa na urefu huo bila kibali ni dola 2000,
Ndo maana hata hizo marcopolo za superfeo ni special order za urefu mfupi (reduced leg room) ukitembea nchi kama Zambia, Zimbabwe ,Botswana etc utaona original version( lenght )ya basi hizo na zinapendeza haswa
tuna sheria za kijnga kichizi
 
Hongera kwa kwake


Na tuendelee kumshukuru Mungu kwaajili ya uhai wa John Pombe Joseph Magufuli kwa taifa letu

Tuliowahi kusafiri Dar Songea zamani, Songea Masasi na Dar Mwanza kupitia Nairobi tunajua Shujaa metuachia miundombinu ya kututosha na katurahisishia maisha mnoooo

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote

Aendelee kupumzika kwa amani kipenzi chetu JPM😍🇹🇿🙏
Sio kikwete
 
Mchina anafnya custumization vile unatka mteja ndo mana BM na Kidia zina maliwato japo ni haja ndogo tu sio mbaya
Sawa Mkuu, ila bado haitoshi waruhusu tu ziwe na full service toilets maana kuna dharura pamoja na magonjwa chungu nzima.

Kuna raia huko juu aliongelea busi zinazotengenezwa Uganda hapo, mabasi yao yanakuja standard na full service toilets, fridge na linabeba abiria 49(kama sijakosea. Service life ndo bado haifahamiki, ila seems a good choice).
Je, wanaweza ruhusu basi kama hiyo?
 
Yaani safari uliyotakiwa kutumia ndege , unaona ufahari kulala kwenye mabasi. Aliyeturoga ni nani ?
Mkuu Afrika kusini ni nchi iliyotuzidi mambo mengi sana but hata kule mabasi yanayotoka Zambia ni mengi na wengi wanatumia kuliko ndege.

Ila nakushauri waachie watu usafiri wao.
 
Naendelea kujifunza tatizo la elimu linawasumbua vijana wengi sana.
Zipo marcopolo ambazo mchina hasogezi pua lakini siyo hizo za arusha exp!
Hizo mkuu kazipambanishe na akina najimunisa, super champion na wengine wa kabila hiyo!
Sijui kama umenielewa reply yangu kulingana na ulichoandika, vinginevyo una tatizo la kuelewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom