FrankMakeps
Member
- Apr 1, 2013
- 93
- 70
Nimesema nakubeen ww na baba morgan lzm mila idumishweKhaaaaa! Mnakulaje vileyaani sijawahi hata kujalibu kula
Nimesema nakubeen ww na baba morgan lzm mila idumishweKhaaaaa! Mnakulaje vileyaani sijawahi hata kujalibu kula
hiyo akili watoe wapi sasaHawajui kuwa dunia kila siku inabadirika na wao wabadirike
Mende hawapoNi mkusanyiko wa wadudu ila sio hao uliowasema
Unamtisha mawardatMende hawapo
Hiv wao huwa hawatembelei nchi nyingne wakaona mabadiriko au ata kuingia mtandaoni kuona products mpya(magari, trailer, nk) zilizopo zinazoitajika kwenye swala zima.la usafirishaji?hiyo akili watoe wapi sasa
mkuu tatizo hamna kitu kichwani, isipokuwa wana njaaa tuHiv wao huwa hawatembelei nchi nyingne wakaona mabadiriko au ata kuingia mtandaoni kuona products mpya zilizopo zinazoitajika kwenye swala zima.la usafirishaji?
Hapo kaz tunayo na hii ya kuwekeza wakwe na watoto wa shangazi nayo inatuchelewesha sanamkuu tatizo hamna kitu kichwani, isipokuwa wana njaaa tu
Mie siwezi kula vileNimesema nakubeen ww na baba morgan lzm mila idumishwe
Mchina kwenye 2*1 yuko vizuri lakini 2*2 kazingua upande wa siti, siti ndogo mno sijui wanajipima wenyewe huko chinaComfortability finishing ya ndani mchina bado anakimbiza
tuna sheria za kijnga kichiziHaitakaa itokee . Kutokana na sheria za Tanroad.
Mabasi ya maliwato ndani huwa yanakuwa marefu by default, sheria za tan road haziruhusu urefu huo , faini ukikutwa na urefu huo bila kibali ni dola 2000,
Ndo maana hata hizo marcopolo za superfeo ni special order za urefu mfupi (reduced leg room) ukitembea nchi kama Zambia, Zimbabwe ,Botswana etc utaona original version( lenght )ya basi hizo na zinapendeza haswa
Mchina anafnya custumization vile unatka mteja ndo mana BM na Kidia zina maliwato japo ni haja ndogo tu sio mbayatuna sheria za kijnga kichizi
Sio kikweteHongera kwa kwake
Na tuendelee kumshukuru Mungu kwaajili ya uhai wa John Pombe Joseph Magufuli kwa taifa letu
Tuliowahi kusafiri Dar Songea zamani, Songea Masasi na Dar Mwanza kupitia Nairobi tunajua Shujaa metuachia miundombinu ya kututosha na katurahisishia maisha mnoooo
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote
Aendelee kupumzika kwa amani kipenzi chetu JPM😍🇹🇿🙏
Sawa Mkuu, ila bado haitoshi waruhusu tu ziwe na full service toilets maana kuna dharura pamoja na magonjwa chungu nzima.Mchina anafnya custumization vile unatka mteja ndo mana BM na Kidia zina maliwato japo ni haja ndogo tu sio mbaya
😂😂😂😂Kum be,,,,mie kiwanjani na makita
Nyumbani huruma Airport kule now kuna majumba,msitu upo pale shuleni kwenu tu
Mbicu mbinga mjini?Mtaa wang mzee mbicu mbicu hv
Mmatengo myao au mwarabu?Mie siyo mnyasa bana
Mie mzaliwa wa mbinga,hospital ya mbuyula,nimesoma kiwanjani
Mkuu Afrika kusini ni nchi iliyotuzidi mambo mengi sana but hata kule mabasi yanayotoka Zambia ni mengi na wengi wanatumia kuliko ndege.Yaani safari uliyotakiwa kutumia ndege , unaona ufahari kulala kwenye mabasi. Aliyeturoga ni nani ?
Sijui kama umenielewa reply yangu kulingana na ulichoandika, vinginevyo una tatizo la kuelewa.Zipo marcopolo ambazo mchina hasogezi pua lakini siyo hizo za arusha exp!
Hizo mkuu kazipambanishe na akina najimunisa, super champion na wengine wa kabila hiyo!
Zile scania G7 saba alizoingiza zitamlipa kwa ruti ndefu ya Mwanza songea, mwanza mbeya.pia apige ya Mwanza Songea kupitia Dar