Phillemon Mikael,
Mkuu sijakuelewa hapo unaposema akisema mpinzani tunaleta siasa una maana gani?.. Songas hawawezi kununua mitambo hiyo na kutuuzia sisi bila kuwepo mkataba unaohusiana manunuzi hayo..Na kama itatokea hivyo ni mbinu zimetumika, sasa kama wewe una taarifa kamili kwamba serikali imekubali kununua umeme zaidi toka songas tufahamishe..
Na kama una maana Zitto ndiye unamtumia hapa kuwa ni Mpinzani basi huyo Zitto sii mpinzani kwani Mpinzani ni yule anayepinga kubebeshwa mzigo kama huu!..Upinzani hauwezi kubeba mzigo wa CCM na kuuendesha kama mbinu zao ki CCM, hapana mkuu wangu changes ni kama Obama amekataa kuyaweka majeshi Iraq hata kama tayari yapo Iraq..Yanaondoka kinyume cha matakwa ya Republican!..
Ebu nikuulize hao kina Zitto mbona magari yao hawanunui kwa Charle Mtawale (mitumba) pale Kinondoni isipokuwa yanaagizwa toka nje ikiwa swala hapa ni kuwepo kwa magari tayari nchini?
Acheni siasa zenu wakuu.. hatuwezi kudanganyika kirahisi hivyo! Zitto alichemsha, aliteleza na kuangukia ktk shimo la taka, kasimama na kujikung'uta lakini kama bado anazengea zengea ktk tope hizo mkuu wangu tutamkuta huko shimoni...I strongly Oppose any deal with Dowans... kwani hawa sii watengenezaji wa mitambo hii ni kanyanga tu..
Yule mjinga mwingine Lipumba kaleta habari za mitambo mipya ati zinaweza kuwa feki.. uliona wapi hiyo mkuu wangu kama sio siasa..GE au Watsila wanaweza kweli kutuuzia mitambo feki! Hivi kuna mtu anaweza kunionyesha gari hata moja ambalo ni Feki?..Hiyo feki kivipi sijui maanake hata sielewi!
Mkuu sijakuelewa hapo unaposema akisema mpinzani tunaleta siasa una maana gani?.. Songas hawawezi kununua mitambo hiyo na kutuuzia sisi bila kuwepo mkataba unaohusiana manunuzi hayo..Na kama itatokea hivyo ni mbinu zimetumika, sasa kama wewe una taarifa kamili kwamba serikali imekubali kununua umeme zaidi toka songas tufahamishe..
Na kama una maana Zitto ndiye unamtumia hapa kuwa ni Mpinzani basi huyo Zitto sii mpinzani kwani Mpinzani ni yule anayepinga kubebeshwa mzigo kama huu!..Upinzani hauwezi kubeba mzigo wa CCM na kuuendesha kama mbinu zao ki CCM, hapana mkuu wangu changes ni kama Obama amekataa kuyaweka majeshi Iraq hata kama tayari yapo Iraq..Yanaondoka kinyume cha matakwa ya Republican!..
Ebu nikuulize hao kina Zitto mbona magari yao hawanunui kwa Charle Mtawale (mitumba) pale Kinondoni isipokuwa yanaagizwa toka nje ikiwa swala hapa ni kuwepo kwa magari tayari nchini?
Acheni siasa zenu wakuu.. hatuwezi kudanganyika kirahisi hivyo! Zitto alichemsha, aliteleza na kuangukia ktk shimo la taka, kasimama na kujikung'uta lakini kama bado anazengea zengea ktk tope hizo mkuu wangu tutamkuta huko shimoni...I strongly Oppose any deal with Dowans... kwani hawa sii watengenezaji wa mitambo hii ni kanyanga tu..
Yule mjinga mwingine Lipumba kaleta habari za mitambo mipya ati zinaweza kuwa feki.. uliona wapi hiyo mkuu wangu kama sio siasa..GE au Watsila wanaweza kweli kutuuzia mitambo feki! Hivi kuna mtu anaweza kunionyesha gari hata moja ambalo ni Feki?..Hiyo feki kivipi sijui maanake hata sielewi!