Songas to buy Dowans generators?

Semilong

JF-Expert Member
Mar 5, 2009
1,712
219
2009-03-21 - ipp media
By Bilham Kimati

As the heated debate on whether the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) should or should not buy the Dowans Power Plant comes to a close, it has been hinted that Songas Power Company is now the potential buyer of the machines, The Guardian has learnt allayed fears over power rationing should the weather forecasts behave accordingly.

shareholders wa songas ni

1.Globeleq
2.Tanzania Petroleum Development Corporation - TPDC (100% mali ya umma)
3.Tanzania Electricity Supply Company Limited - TANESCO (100%mali ya umma)
4.Tanzania Development Finance Company Limited - TDFL (32% mali ya umma)
5.FMO YA HOLLAND

>>>>> Songas Limited shareholders <<<<<

kutokana na hao shareholders hapo juu, TPDC, TANESCO NA TDFL ni mali ya yetu wenyewe hili sio GOLI LA KISIGINO KWELI?

SIO SERIKALI INATAKA KUNUNUA KUPITIA MLANGO WA NYUMA?

"SAY NO TO SONGAS"


kama kuna mtu anajua % ya shares za songas, kwa kila kampuni tuwekee please
 
Last edited:
2009-03-21 - ipp media
By Bilham Kimati

As the heated debate on whether the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) should or should not buy the Dowans Power Plant comes to a close, it has been hinted that Songas Power Company is now the potential buyer of the machines, The Guardian has learnt allayed fears over power rationing should the weather forecasts behave accordingly.

shareholders wa songas ni

1.Globeleq
2.Tanzania Petroleum Development Corporation - TPDC (100% mali ya umma)
3.Tanzania Electricity Supply Company Limited - TANESCO (100%mali ya umma)
4.Tanzania Development Finance Company Limited - TDFL (32% mali ya umma)
5.FMO YA HOLLAND

>>>>> Songas Limited - Intranet <<<<<

kutokana na hao shareholders hapo juu, TPDC, TANESCO NA TDFL ni mali ya yetu wenyewe hili sio GOLI LA KISIGINO KWELI?

SIO SERIKALI INATAKA KUNUNUA KUPITIA MLANGO WA NYUMA?

"SAY NO TO SONGAS"


Hawa waache tu watuchezee. Mapinduzi hulazimishwa na walioko madarakani na inaelekea waliopo wanajaribu kulazimisha wapinduliwe.
 
2009-03-21 - ipp media
By Bilham Kimati

As the heated debate on whether the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) should or should not buy the Dowans Power Plant comes to a close, it has been hinted that Songas Power Company is now the potential buyer of the machines, The Guardian has learnt allayed fears over power rationing should the weather forecasts behave accordingly.

shareholders wa songas ni

1.Globeleq
2.Tanzania Petroleum Development Corporation - TPDC (100% mali ya umma)
3.Tanzania Electricity Supply Company Limited - TANESCO (100%mali ya umma)
4.Tanzania Development Finance Company Limited - TDFL (32% mali ya umma)
5.FMO YA HOLLAND

>>>>> Songas Limited - Intranet <<<<<

kutokana na hao shareholders hapo juu, TPDC, TANESCO NA TDFL ni mali ya yetu wenyewe hili sio GOLI LA KISIGINO KWELI?

SIO SERIKALI INATAKA KUNUNUA KUPITIA MLANGO WA NYUMA?

"SAY NO TO SONGAS"

Kasoro hapa hutajajua his public companies wana hisa kwa asilimia ngapi.
 
Kasoro hapa hutajajua his public companies wana hisa kwa asilimia ngapi.

hao wanahisa wengine watakaa kimya tu serikali ikinunua hiyo mitambo kwa kupitia kampuni zake (ie TPDC)
serikali sio ndio italipa
 
Mkuu Semilong,

Unachotakiwa kutupatia kama unaweza ni je hayo makampuni matano kila moja lina shares asilimia ngapi?

Hata kama government wana shares kwenye hizo kampuni zingine lakini shares zao ni chache kwenye Songas, serikali haiwezi kulazimisha manunuzi. Kumbuka hizo kampuni mbili zingine sio za Watanzania.

Huenda Zitto alikuwa sahihi kwi kwi kwi!!
 
shareholders wa songas ni

1.Globeleq
2.Tanzania Petroleum Development Corporation - TPDC (100% mali ya umma)
3.Tanzania Electricity Supply Company Limited - TANESCO (100%mali ya umma)
4.Tanzania Development Finance Company Limited - TDFL (32% mali ya umma)
5.FMO YA HOLLAND

>>>>> Songas Limited shareholders <<<<<

kutokana na hao shareholders hapo juu, TPDC, TANESCO NA TDFL ni mali ya yetu wenyewe hili sio GOLI LA KISIGINO KWELI?

SIO SERIKALI INATAKA KUNUNUA KUPITIA MLANGO WA NYUMA?

"SAY NO TO SONGAS"

Iko mbaya gani. Shareholders watatu in red hapo juu ni private investors. Kwa hiyo Songas inaendesha shughuli zake kwa misingi ya kibiashara siyo kama mashirika yetu ya umma yanavyoendeshwa kwa misingi ya kisiasa.

Kufuatana na hali ya umeme nchini, this is a good business opportunity for anyone with brains kununua hiyo mitambo maana itahitajika tu hata Tanesco wanunue mitambo hiyo mipya.

Hapo Tanesco itapoanza kuwalipa capacity charges na Songas kuongeza faida yao, ndio wale wanaopinga ununuzi wa mitambo ya Dowans watapoona makosa waliyoyafanya. Na Bunge litaangalia hivi hivi bila kuwa na lolote la kufanya kwani halima mandate ya kuingilai utendaji wa Songas.
 
Huu ni uhujumu unaofanywa na TANESCO na baadhi ya watendaji wa selikari wa waziwazi. Toka mwaka jana hawajataka kununua mitambo mipya. Wanavuruga taratibu ili waendelee kujustfy mambo yao ya kifisadi. Kama watendaji wa TANESCO wako serious wangesha omba kuagiza mitambo mingine mipya toka mwaka jana walipositisha mkataba na Dowans. Lakini kwa vile mikakati iliyopo ni kuhakikisha dowans na wapambe wao wanarudi kwa mlango wa nyuma basi wamebaki watu wa kukaa tuu na kutushtukiza.

Lakini muda si kitambo kitaeleweka tu.
 
Du!!! nitafurahi sana mkipigwa bao... maana mumezidi siasa... Songas kununua mtambo ni haki yake... ninyi si munanunua umeme tu... sio kazi yenu kujua songas anazalisha kwa maji, upepo au kwa uchawi...

Wewe unasosema shareholders... sijui TPDC, TANESCO ... etc unatakiwa kusema wanamiliki share ngapi?

Kwa vyovyote vile watakuwa minority shareholder ambao hawana maamuzi yoyote...

Ndio muonyeshe kwamba mnapenda siasa sana.
 
Iko mbaya gani. Shareholders watatu in red hapo juu ni private investors. Kwa hiyo Songas inaendesha shughuli zake kwa misingi ya kibiashara siyo kama mashirika yetu ya umma yanavyoendeshwa kwa misingi ya kisiasa.

Kufuatana na hali ya umeme nchini, this is a good business opportunity for anyone with brains kununua hiyo mitambo maana itahitajika tu hata Tanesco wanunue mitambo hiyo mipya.

Hapo Tanesco itapoanza kuwalipa capacity charges na Songas kuongeza faida yao, ndio wale wanaopinga ununuzi wa mitambo ya Dowans watapoona makosa waliyoyafanya. Na Bunge litaangalia hivi hivi bila kuwa na lolote la kufanya kwani halima mandate ya kuingilai utendaji wa Songas.

Too bad if it is true. The two shareholders however small their shares are will assure the other that do not worry how much you pay, the government will ensure that your money gets back. We will ensure that we buy electricity from you, with the high capacity charges already under the contract. The other share holder will be quite and let the government do the rest. Paying the gadem DOWANS. Who is this DOWANS who has to be paid at any cost any way? He must be at state house, he is the president by proxy

Asha
 
ndio ni kampuni ambayo inaendeshwa kwa faida lakini lazima ujue umeme ni secta ambayo muuekezaji akitaka kuwekeza lazima ainyenyekee serikali. hao songas wakitaka kufanya expansion (kuongeza MW inazo supply tanesco) au kupata ardhi mpya ya gesi ni lazima warudi kuinyenyekea serikali (legalize corruption "lobbying").

serikali kupitia TPDC, TDFL na TANESCO wanaweza kulipia manunuzi ya mitambo ya dowans kwa kutumia jina la songas. hao mashareholders wawili hawataongea kitu ili mradi tu hao hawalipii. wanajua wakipiga kelele tu kupata ardhi mpya itakua ndoto au contract yao kuongezwa itakuwa kitendawili.
bomba la gesi kutoka songosongo mpaka dar ni la TZ, na serikali inaweza kulikodisha kwa mwekezaji mwingine na kampuni zote zinazochunguza gesi maeneo hayo zimeruhusiwa kutumia hilo bomba, kwa hiyo songas hayuko peke yake.
capacity charge za songas bado zipo juu ukizingatia bomba ni la kwetu
kama ardhi ya gesi ni ndoto na contract ni kitendawili faida itaokea wapi?

tahadhari: hamna watu ambao wako corrupt kama wawekezaji wanajali maslahi yao tu
 
Last edited:
2009-03-21 - ipp media
By Bilham Kimati

SIO SERIKALI INATAKA KUNUNUA KUPITIA MLANGO WA NYUMA?

"SAY NO TO SONGAS"

Yeah, that was the plan "B" - ndio maana Tanesco wakajitoa haraka haraka tulipopiga kelele. Mitambo ya Dowans lazima inunuliwe - kwani ipelekwe wapi ? Shylock wants his pound of flesh and in Tanzania, he will definitely get it - moreover ahadi ni deni !!:mad:

I concur - SAY NO TO SONGAS
 
ndio ni kampuni ambayo inaendeshwa kwa faida lakini lazima ujue umeme ni secta ambayo muuekezaji akitaka kuwekeza lazima ainyenyekee serikali. hao songas wakitaka kufanya expansion (kuongeza MW inazo supply tanesco) au kupata ardhi mpya ya gesi ni lazima warudi kuinyenyekea serikali (legalize corruption "lobbying").

serikali kupitia TPDC, TDFL na TANESCO wanaweza kulipia manunuzi ya mitambo ya dowans kwa kutumia jina la songas. hao mashareholders wawili hawataongea kitu ili mradi tu hao hawalipii. wanajua wakipiga kelele tu kupata ardhi mpya itakua ndoto au contract yao kuongezwa itakuwa kitendawili.
kama ardhi ya gesi ni ndoto na contract ni kitendawili faida itaokea wapi?

tahadhari hamna watu ambao wako corrupt kama wawekezaji wanajali maslahi yao tu

Mkuu Semilong,

Unarahisisha mambo utafikiri hiyo kampuni ya kuuza nyanya?

Hayo makampuni mengine yana shareholders wengine wengi tu, wanafuata corporate governance na accounting principles. Unachokisema kinawezekana tu kwenye mashirika yetu ya umma yanayoendeshwa kisiasa.

Kama Songas watanunua huo mtambo ni kwasababu wameona opportunity ambayo sisi hatukuiona na wameamua kuitumia. Its the economy, stupid!
 
Unaona ujanja umezidi sana na dau linapandishwa sasa kwa supply ya huo umeme. Awali ingelikuwa biashara ya direct Tanesco - Wateja but now Songas - Tanesco - Wateja. Tumesema sana but solution ni hio mitambo ibaki Tz tu. Sasa inaonekana itabaki kwa gharama ya wateja wa Tanesco kwasababu Songas iko in between nayo lazima wapate faida if its a private or SU company.
 
Too bad if it is true. The two shareholders however small their shares are will assure the other that do not worry how much you pay, the government will ensure that your money gets back. We will ensure that we buy electricity from you, with the high capacity charges already under the contract. The other share holder will be quite and let the government do the rest. Paying the gadem DOWANS. Who is this DOWANS who has to be paid at any cost any way? He must be at state house, he is the president by proxy

Asha

Dada Asha,

Huenda prof. wako alikuwa sahihi kwi kwi kwi!!
 
Iko mbaya gani. Shareholders watatu in red hapo juu ni private investors. Kwa hiyo Songas inaendesha shughuli zake kwa misingi ya kibiashara siyo kama mashirika yetu ya umma yanavyoendeshwa kwa misingi ya kisiasa.

Kufuatana na hali ya umeme nchini, this is a good business opportunity for anyone with brains kununua hiyo mitambo maana itahitajika tu hata Tanesco wanunue mitambo hiyo mipya.

Hapo Tanesco itapoanza kuwalipa capacity charges na Songas kuongeza faida yao, ndio wale wanaopinga ununuzi wa mitambo ya Dowans watapoona makosa waliyoyafanya. Na Bunge litaangalia hivi hivi bila kuwa na lolote la kufanya kwani halima mandate ya kuingilai utendaji wa Songas.

tk.... hivi haya majenereta yenu mmekosa kabisa sehemu ya kuyauza??
 
Back
Top Bottom