Songa-Pombe sio chai

Songa-Pombe sio chai

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
24,738
Reaction score
60,395
Haiuzwi Ukiwa under 18 mda usije ukamponza mtoto/
Kama una dozi kunywa hata soda ndogo/
Mdogomdogo sio kreti libaki empty/
Utajikuta bwana mdogo ume lost imebaki chenji/
Ukaleta tu madrama na ukaonekana pimbi/
Tulisema tule nyama tukapiga magimbi/
Ukalainisha na mtindi/
Ukitaka kuleta ugomvi utachapika kwa mlinzi/
Pombe nzuri huenda na mangoma kwenye hewa/
Warembo wakali pia nyama choma ka ngekewa/
Ka Ulikuja ukaona kawaida Sa umeanza kuona kila waiter mzuri nenda home ushalewa/
Kama hujatosheka Basi rudi na kesho/
Ikiwa huwezi tungi cheki movie tu ghetto/
Watu Wana have fun yaani mpaka kunakucha/
Wengine wameshalewa wanaita mama nakufa/

Nasema pombe sio chai
Pombe sio chai
Nasema pombe sio chai

tabaki kuwa juu ka liquid au pesa/
Vyombo burudani Wala sinywi kwa pressure/
RIP zizi na machizi waliosepa/
Namwaga pombe chini mpumzike nikivesha/
Nafurahi kuona mnafurahi mbona/
Mwenye uchu Kakuta binti kazima kwa Kona/
Tupeane nafasi/
maisha yenyewe yapo kasi/
Sista do Cheza nami ila usini search/
Niko busy na Cash/
Usiulize Niko wapi
Tuko happy na party/
na washikaji ambao Niko nao kila wakati/
Acha nilewe kwani am so happy/
Maisha Ni yangu mwenyewe kwani tuko wangapi/
 
Haiuzwi Ukiwa under 18 mda usije ukamponza mtoto/
Kama una dozi kunywa hata soda ndogo/
Mdogomdogo sio kreti libaki empty/
Utajikuta bwana mdogo ume lost imebaki chenji/
Ukaleta tu madrama na ukaonekana pimbi/
Tulisema tule nyama tukapiga magimbi/
Ukalainisha na mtindi/
Ukitaka kuleta ugomvi utachapika kwa mlinzi/
Pombe nzuri huenda na mangoma kwenye hewa/
Warembo wakali pia nyama choma ka ngekewa/
Ka Ulikuja ukaona kawaida Sa umeanza kuona kila waiter mzuri nenda home ushalewa/
Kama hujatosheka Basi rudi na kesho/
Ikiwa huwezi tungi cheki movie tu ghetto/
Watu Wana have fun yaani mpaka kunakucha/
Wengine wameshalewa wanaita mama nakufa/

Nasema pombe sio chai
Pombe sio chai
Nasema pombe sio chai

tabaki kuwa juu ka liquid au pesa/
Vyombo burudani Wala sinywi kwa pressure/
RIP zizi na machizi waliosepa/
Namwaga pombe chini mpumzike nikivesha/
Nafurahi kuona mnafurahi mbona/
Mwenye uchu Kakuta binti kazima kwa Kona/
Tupeane nafasi/
maisha yenyewe yapo kasi/
Sista do Cheza nami ila usini search/
Niko busy na Cash/
Usiulize Niko wapi
Tuko happy na party/
na washikaji ambao Niko nao kila wakati/
Acha nilewe kwani am so happy/
Maisha Ni yangu mwenyewe kwani tuko wangapi/
Huyo ndo songa
PicsArt_03-05-01.47.48.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom