Somo zuri kwa Tundu Lissu

mamayoyo1

JF-Expert Member
Jul 25, 2018
1,011
1,019
Somo zuri sana kwa Tundu Lisu...Kabla na baada ya lile shambulizi anaonekana hayupo kwa maslahi ya taifa..Yaani yupo tayari kufanya lolote ili kufurahisha nafsi yake kwa gharama ya nchi. Swali la kujiuliza, hicho nchi anazoenda wao matatizo yao ya ndani wanapeleka wapi? Wakigombana wanakuja TZ au wanaenda China?

Je, hao walio nyuma yake watamlipa nini? Kwa nini anatumia nguvu kubwa kutetea wapora rasilimali zetu hata kuwapa ushauri wa kisheria badala ya kuungana na watanzania? Maswali haya na mengine mengi hata waandishi waliomhoji hawajapata majibu...

Ushauri wangu, Tundu Lisu, rudi Tanzania..Toa msahama kwa waliokutendea. Ungana na watanzania kutoa hoja za kujenga nchi. Jifunze kwa Mandela au Deng Xiaoping wa China.. Walisamehe, wakaungana na wanachi wao kujenga nchi, na wakawa Marais...Jitafakari, njia uliyochangua ni ile ya SAVIMBI.
1548868172196.png
 
Tofautisha , hizo nchi hazipigi watu wao Risasi! Ni hilo tu! Nchi hizo hazina watu kwenye sandarusi! Nchi hizo hazivunji haki za binadamu etc Kesho ni wewe ngoja tuone kama utasamehe kihivyo!
Ndugu haipo hiyo nchi isiyopiga watu risasi.... Am not supporting kupiga risasi ila hayo mataifa makubwa wameua wengi sana.
Ndani na nje ya nchi zao.... Kikubwa alichoandika hapo ni kusamehe .....
 
Somo zuri sana kwa Tundu Lisu...Kabla na baada ya lile shambulizi anaonekana hayupo kwa maslahi ya taifa..Yaani yupo tayari kufanya lolote ili kufurahisha nafsi yake kwa gharama ya nchi. Swali la kujiuliza, hicho nchi anazoenda wao matatizo yao ya ndani wanapeleka wapi? Wakigombana wanakuja TZ au wanaenda China?

Je, hao walio nyuma yake watamlipa nini? Kwa nini anatumia nguvu kubwa kutetea wapora rasilimali zetu hata kuwapa ushauri wa kisheria badala ya kuungana na watanzania? Maswali haya na mengine mengi hata waandishi waliomhoji hawajapata majibu...

Ushauri wangu, Tundu Lisu, rudi Tanzania..Toa msahama kwa waliokutendea. Ungana na watanzania kutoa hoja za kujenga nchi. Jifunze kwa Mandela au Deng Xiaoping wa China.. Walisamehe, wakaungana na wanachi wao kujenga nchi, na wakawa Marais...Jitafakari, njia uliyochangua ni ile ya SAVIMBI.
View attachment 1008893
Je wale waliompiga risasi ilikuwa ni kwa maslahi ya taifa?

Sent using Vertu Signature Cobra
 
Kukaa kimya ni dhambi mbaya, Mtawala amefanikiwa kuzima sauti na mifumo ya ndani, nadhani TL ni nabii aliechaguliwa Kusema dunia ijue itusaidie BREAK.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia haijawahi kuwa na wema wa kukusaidia....
Msaada wetu tunao wenyewe ndani ya nchi... tuhimarishe upinzani ili kuvutia vijana wengi wajiunge na upinzani na kuwa na nguvu against maovu.
 
Ndugu haipo hiyo nchi isiyopiga watu risasi.... Am not supporting kupiga risasi ila hayo mataifa makubwa wameua wengi sana.
Ndani na nje ya nchi zao.... Kikubwa alichoandika hapo ni kusamehe .....
Kwanini wao wasingesamehe wakaamua kummiminia risasi?
Action and reaction are equal and opposite ... newton's third law

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Somo zuri sana kwa Tundu Lisu...Kabla na baada ya lile shambulizi anaonekana hayupo kwa maslahi ya taifa..Yaani yupo tayari kufanya lolote ili kufurahisha nafsi yake kwa gharama ya nchi.
Inaonekana hujui vizuri historia ya Tundu Lissu. Tundu Lissu alianza mapambano na kampuni za madini miaka ya 90 enzi za Mkapa. Ilikuwa ni Serikali ya CCM, Magufuli akiwemo ndani, ambayo illikuwa inatetea "Mabeberu" na kuweka mikataba ya wizi wa madini yetu. Lissu akiwa katika chama cha Wanasheria wa Mazingira, alipambana sana na kutahadharisha kuhusu uporaji wa madini yetu. MKapa na CCM yake, Magufuli akiwemo, walipinga. Lissu aliwatetea bure mahakamani wananchi waliobambikizwa kesi kutokana na kuwa mwiba kwa hao "wawekezaji" na aliwahi kuwekwa ndani kwa kufuatilia suala la wananchi waliofukiwa katika mashimo kule Bulyanhulu. Leo Tundu Lissu anaitwa "kibaraka". Kinachofanyika hapa kwetu ni maovu yanafanyika na watu wanazibwa midomo. njia pekee ni hiyo anayotumia Tundu lissu. Wacha awanyooshe.

Swali la kujiuliza, hicho nchi anazoenda wao matatizo yao ya ndani wanapeleka wapi? Wakigombana wanakuja TZ au wanaenda China?
Wenzetu hawahitaji kutoka nje maana Rais wao akileta za kuleta wanamalizana naye humo humo tena vizuri tu. Umeona jinsi Democrats, wapinzani, wakiongozwa na Nancy Pelosi, walivyomshikisha adabu Trump? Trump pia anashikishwa adabu na mifumo iliyoko huko, ikiwemo mahakama. sasa hapa kwetu hiyo mifumo haifanyi kazi imezimwa.
 
Somo zuri sana kwa Tundu Lisu...Kabla na baada ya lile shambulizi anaonekana hayupo kwa maslahi ya taifa..Yaani yupo tayari kufanya lolote ili kufurahisha nafsi yake kwa gharama ya nchi. Swali la kujiuliza, hicho nchi anazoenda wao matatizo yao ya ndani wanapeleka wapi? Wakigombana wanakuja TZ au wanaenda China?

Je, hao walio nyuma yake watamlipa nini? Kwa nini anatumia nguvu kubwa kutetea wapora rasilimali zetu hata kuwapa ushauri wa kisheria badala ya kuungana na watanzania? Maswali haya na mengine mengi hata waandishi waliomhoji hawajapata majibu...

Ushauri wangu, Tundu Lisu, rudi Tanzania..Toa msahama kwa waliokutendea. Ungana na watanzania kutoa hoja za kujenga nchi. Jifunze kwa Mandela au Deng Xiaoping wa China.. Walisamehe, wakaungana na wanachi wao kujenga nchi, na wakawa Marais...Jitafakari, njia uliyochangua ni ile ya SAVIMBI.
View attachment 1008893

Amsamehe nani wakati mpaka leo hakuna mtu aliyekamatwa kuhusika na shambulio lile?kuwa kama mandela nauliowataja hapo si maneno yako ndio yanaweza kumfanya awe hivyo bali neema za mwenyezi Mungu. Ningekushauri umuombee awe kama mandela na hao wengine uliowataja otherwise ushauri wakoutabaki story.
 
Naona unazidi kuwa 'yoyo' kumzidi mwanao!
Ushauri wa kipuuzi kabisa.

Unamzungumzia Mandela kusamehe? Makaburu wale hawakumtwanga hata risasi moja. Hao makaburu tuwasifu kuwa walikuwa ni watu wazuri na wenye huruma kwa binaadam mwenzao kuliko "wazalendo" waliotaka kuiondoa roho ya Lissu?
 
Somo zuri sana kwa Tundu Lisu...Kabla na baada ya lile shambulizi anaonekana hayupo kwa maslahi ya taifa..Yaani yupo tayari kufanya lolote ili kufurahisha nafsi yake kwa gharama ya nchi. Swali la kujiuliza, hicho nchi anazoenda wao matatizo yao ya ndani wanapeleka wapi? Wakigombana wanakuja TZ au wanaenda China?

Je, hao walio nyuma yake watamlipa nini? Kwa nini anatumia nguvu kubwa kutetea wapora rasilimali zetu hata kuwapa ushauri wa kisheria badala ya kuungana na watanzania? Maswali haya na mengine mengi hata waandishi waliomhoji hawajapata majibu...

Ushauri wangu, Tundu Lisu, rudi Tanzania..Toa msahama kwa waliokutendea. Ungana na watanzania kutoa hoja za kujenga nchi. Jifunze kwa Mandela au Deng Xiaoping wa China.. Walisamehe, wakaungana na wanachi wao kujenga nchi, na wakawa Marais...Jitafakari, njia uliyochangua ni ile ya SAVIMBI.
View attachment 1008893
Bi mkubwa, kwanini uwindaji wa watu na mauaji , siyo tatizo kwako kama kuzungumza kwa Lissu ?!.

Ungetenda haki kwa kwanza, kukemea kilichotokea "assassin's" then ukamuonya Lissu kwa kusema kwake ukweli. Ukikumbuka mauaji ya Alphonse Mawazo na waliomfuatia, hukutakiwa kumlaumu Lissu na mwingine yeyote anayelilia haki. Mimi bado naamini tunaweza kwa na taifa bora kwa wote . Bila kujali itikadi, kabila au hata Imani.

Mzee asimame hadharani akemee haya mambo yanayomchafua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamjapigwa risasi mnaumia kuliko yule mliompiga risasi 38. Hamta pata amani ya moyo hadi siku mtakapouawa kama mnavyouwa wenzenu kama wanyama.
 
Somo zuri sana kwa Tundu Lisu...Kabla na baada ya lile shambulizi anaonekana hayupo kwa maslahi ya taifa..Yaani yupo tayari kufanya lolote ili kufurahisha nafsi yake kwa gharama ya nchi. Swali la kujiuliza, hicho nchi anazoenda wao matatizo yao ya ndani wanapeleka wapi? Wakigombana wanakuja TZ au wanaenda China?

Je, hao walio nyuma yake watamlipa nini? Kwa nini anatumia nguvu kubwa kutetea wapora rasilimali zetu hata kuwapa ushauri wa kisheria badala ya kuungana na watanzania? Maswali haya na mengine mengi hata waandishi waliomhoji hawajapata majibu...

Ushauri wangu, Tundu Lisu, rudi Tanzania..Toa msahama kwa waliokutendea. Ungana na watanzania kutoa hoja za kujenga nchi. Jifunze kwa Mandela au Deng Xiaoping wa China.. Walisamehe, wakaungana na wanachi wao kujenga nchi, na wakawa Marais...Jitafakari, njia uliyochangua ni ile ya SAVIMBI.
View attachment 1008893

Mamayoyo1, nimesoma andiko lako. Umedai Lissu ajifunze kwa watu akiwemo mzee Mandela. Nionavyo mimi huo sio mfano maridhawa sana. Historia ya Mandela ipo wazi. Aliendesha MAPAMBANO ya wazi kabisa, tena akitumia silaha za moto, mpaka Makaburu wakamtangaza kuwa GAIDI, na kukamatwa na kufungwa takribani miaka 27. Nikutokana na pressure za jumuiya ya Kimataifa ndipo mKburu wakalazimika kumwachilia, kwa makubaliano maalumu.

Lissu yeye NIMKOSOAJI tuu wa Serikali kwa maneno, hivyo siyo mfano mzuri sana
 
Somo zuri sana kwa Tundu Lisu...Kabla na baada ya lile shambulizi anaonekana hayupo kwa maslahi ya taifa..Yaani yupo tayari kufanya lolote ili kufurahisha nafsi yake kwa gharama ya nchi. Swali la kujiuliza, hicho nchi anazoenda wao matatizo yao ya ndani wanapeleka wapi? Wakigombana wanakuja TZ au wanaenda China?

Je, hao walio nyuma yake watamlipa nini? Kwa nini anatumia nguvu kubwa kutetea wapora rasilimali zetu hata kuwapa ushauri wa kisheria badala ya kuungana na watanzania? Maswali haya na mengine mengi hata waandishi waliomhoji hawajapata majibu...

Ushauri wangu, Tundu Lisu, rudi Tanzania..Toa msahama kwa waliokutendea. Ungana na watanzania kutoa hoja za kujenga nchi. Jifunze kwa Mandela au Deng Xiaoping wa China.. Walisamehe, wakaungana na wanachi wao kujenga nchi, na wakawa Marais...Jitafakari, njia uliyochangua ni ile ya SAVIMBI.
View attachment 1008893
Tunɗu Lissu waanike madhalimu hawa. Ukinƴamaza watanzania wataangamia!
 
Inaonekana hujui vizuri historia ya Tundu Lissu. Tundu Lissu alianza mapambano na kampuni za madini miaka ya 90 enzi za Mkapa. Ilikuwa ni Serikali ya CCM, Magufuli akiwemo ndani, ambayo illikuwa inatetea "Mabeberu" na kuweka mikataba ya wizi wa madini yetu. Lissu akiwa katika chama cha Wanasheria wa Mazingira, alipambana sana na kutahadharisha kuhusu uporaji wa madini yetu. MKapa na CCM yake, Magufuli akiwemo, walipinga. Lissu aliwatetea bure mahakamani wananchi waliobambikizwa kesi kutokana na kuwa mwiba kwa hao "wawekezaji" na aliwahi kuwekwa ndani kwa kufuatilia suala la wananchi waliofukiwa katika mashimo kule Bulyanhulu. Leo Tundu Lissu anaitwa "kibaraka". Kinachofanyika hapa kwetu ni maovu yanafanyika na watu wanazibwa midomo. njia pekee ni hiyo anayotumia Tundu lissu. Wacha awanyooshe.


Wenzetu hawahitaji kutoka nje maana Rais wao akileta za kuleta wanamalizana naye humo humo tena vizuri tu. Umeona jinsi Democrats, wapinzani, wakiongozwa na Nancy Pelosi, walivyomshikisha adabu Trump? Trump pia anashikishwa adabu na mifumo iliyoko huko, ikiwemo mahakama. sasa hapa kwetu hiyo mifumo haifanyi kazi imezimwa.
Umemaliza, maana watu wanaongea kumbe Lissu wamemfahamu 2010.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom