Somo la maisha

Somo la maisha

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,036
Reaction score
828,829
Angalia kwa makini picha hii
Chatu kamkaba mfalme cobra huku mfalme cobra akimng'ata chatu..Nyoka wote wawili walikufa, mmoja kutokana na kukosa hewa na mwingine kutokana na sumu.

Na hivi ndivyo watu wanavyoangamizana. Urafiki huisha
uhusiano huisha
Familia huishia kuharibikiwa kwa sababu kila mmoja anataka kuwa bora kuliko mwingine.

Baadhi ya watu "hujaribu" kwa ubinafsi wao na kujiona wao ni bora kuliko wengine!.. wengine huishia kueneza sumu za ubaya na mafarakano kwa porojo, umbea,husuda, wivu, kijicho na udanganyifu hadi kuangamizana.

Chagua upendo, huruma, uaminifu, ukweli na msamaha .. Utaona faida yake kwenye maisha yako kupitia, ndugu, familia, jamaa na hata marafiki
1744766298263.jpg

Unaweza kuwa na kiburi na kujiamini kama nyegere lakini fanya hayo pale unapotaka kupigania heshima na ustawi wa familia, ukoo ama jamii yako
1744761550707.jpg
 
Angalia kea makini picha hii
Chatu kamkaba mfalme cobra huku mfalme cobra akimng'ata chatu..Nyoka wote wawili walikufa, mmoja kutokana na kukosa hewa na mwingine kutokana na sumu.

Na hivi ndivyo watu wanavyoangamizana. Urafiki huisha
uhusiano huisha
Familia huishia kuharibikiwa kwa sababu kila mmoja anataka kuwa bora kuliko mwingine.

Baadhi ya watu "hujaribu" kwa ubinafsi wao na kujiona wao ni bora kuliko wengine!.. wengine huishia kueneza sumu za ubaya na mafarakano kwa porojo, umbea,husuda, wivu, kijicho na udanganyifu hadi kuangamizana.

Chagua upendo, huruma, uaminifu, ukweli na msamaha .. Utaona faida yake kwenye maisha yako kupitia, ndugu, familia, jamaa na hata marafikiView attachment 3305845
Unaweza kuwa na kiburi na kujiamini kama nyegere lakini fanya hayo pale unapotaka kupigania heshima na ustawi wa familia, ukoo ama jamii yakoView attachment 3305846
So, who is a king?
 
Angalia kwa makini picha hii
Chatu kamkaba mfalme cobra huku mfalme cobra akimng'ata chatu..Nyoka wote wawili walikufa, mmoja kutokana na kukosa hewa na mwingine kutokana na sumu.

Na hivi ndivyo watu wanavyoangamizana. Urafiki huisha
uhusiano huisha
Familia huishia kuharibikiwa kwa sababu kila mmoja anataka kuwa bora kuliko mwingine.

Baadhi ya watu "hujaribu" kwa ubinafsi wao na kujiona wao ni bora kuliko wengine!.. wengine huishia kueneza sumu za ubaya na mafarakano kwa porojo, umbea,husuda, wivu, kijicho na udanganyifu hadi kuangamizana.

Chagua upendo, huruma, uaminifu, ukweli na msamaha .. Utaona faida yake kwenye maisha yako kupitia, ndugu, familia, jamaa na hata marafiki
Safi sana. Nimeipenda. Hii 👆 👆 ndo HEKIMA kwa uhalisia wake.
View attachment 3305845

Unaweza kuwa na kiburi na kujiamini kama nyegere lakini fanya hayo pale unapotaka kupigania heshima na ustawi wa familia, ukoo ama jamii yakoView attachment 3305846
Nyegere (Honey badger)ni immune au resistant kwa sumu ya nyoka.
 
Back
Top Bottom