Somo la Kiingereza mashuleni

UHURU JR

JF-Expert Member
Jul 24, 2014
16,239
7,603
Hivi hili somo la kiingereza mashuleni huwa linafundishwa ili watu waweze kuongea na kuandika tu au ni zaidi ya kumudu kuongea na kuandika? Na je,ni nani wa kulaumiwa kwa mwanafunzi kushindwa kuongea wala kuandika hata baada ya kufundishwa hilo somo kwa miaka minne na ni kwa sababu zipi zenye kufanya alaumiwe? 
 
kuandika tuu! ndo maana form one unaambiwa kariri tuu kuelewa baadae it measns hata kuongea hakupo
 
Hivi hili somo la kiingereza mashuleni huwa linafundishwa ili watu waweze kuongea na kuandika tu au ni zaidi ya kumudu kuongea na kuandika? Na je,ni nani wa kulaumiwa kwa mwanafunzi kushindwa kuongea wala kuandika hata baada ya kufundishwa hilo somo kwa miaka minne na ni kwa sababu zipi zenye kufanya alaumiwe? 
Why minne? Kwanini usianze na miaka 7 ya primary?
 
Hivi hili somo la kiingereza mashuleni huwa linafundishwa ili watu waweze kuongea na kuandika tu au ni zaidi ya kumudu kuongea na kuandika? Na je,ni nani wa kulaumiwa kwa mwanafunzi kushindwa kuongea wala kuandika hata baada ya kufundishwa hilo somo kwa miaka minne na ni kwa sababu zipi zenye kufanya alaumiwe? 
Mkuu, lengo la lugha ya Kiingereza kufundishwa shuleni kuanzia darasa la awali na kuendelea ni
1.Kumwezesha mwanafunzi kuwa na maarifa na stadi za:
a) kuandika
b) kusoma
c) kuzungumza
d) kusikiliza na kuelewa kwa ufasaha lugha hiyo ya malkia.

Ndiyo maana Mada zote zinazofundishwa huko zinagusa Muundo, Maana, Misamiati, Matamshi na Matumizi sahihi ya maneno ya Kiingereza.
 
Back
Top Bottom