Somo kuhusu WhatsApp

Somo kuhusu WhatsApp

Kituko simu yangu wp....8.1 nimejaribu ingia whatsap inanmbia ni update....swali je niki update sitofuta majina na detail zangu huko whatsap?.....msahada wadau
 
Ukitaka uyabadili rangi je?

Rahisi mbona, kanunua coral paint au Sadolin kila ukitaka kuandika paka kwanza.. (joke)

Wakuu shida sio slow learners shida ni outdated version ya whatsapp kwenye simu zetu. Awali hata mie iligoma, cha msingi angalia kama whatsapp yako ni latest version... Kama sio update kisha apply ulivyosoma hapa JF itajipa.

CL
 
Kituko simu yangu wp....8.1 nimejaribu ingia whatsap inanmbia ni update....swali je niki update sitofuta majina na detail zangu huko whatsap?.....msahada wadau

Hitaathiri chochote mkuu... Kika kitu kitabaki jinsi kil ivyokuwa ila kuna vitu vitaongezeka
 
Dah nimejizolea maujiko kwa mtoto wa kike...teh teh njia nyeupeee...asante mleta mada
Hili ndo tatizo la kuwa binti na kusoma art ama kuishia form 4. Mwanamke lazima asome science ili ukidanganyika kwakuwa umependa, sio kwa mteremko huu loo
 
Sijaelewa nifate mkumbo mkuu? Nieleweshe jomba
Andika hizo alama kwenye karatasi, then zihamishie kwenye message pale unapotaka kuandika message ya wasup, unaanza na, *nakupenda* send ikija pale kwenye message ulizoziandika utaona manjonjo yametokea.
 
Back
Top Bottom